joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Kwamba tupo vizuri Sana katika suala zima la kuwalinda raia wema wa Tanzania, yeyote atakayejaribu kumdhuru mtanzania popote pale alipo, ajue atajuta.
Sasa ulitaka POLISI wetu waje na hapo Nairobi ili kuwalinda watanzania wanaoishi na kufanya biashara, jukumu la kuwalinda ni la nchi husika, ila mkiwadhuru tutajua mumeshindwa kuwalinda, hapo lazima tutakuja kuwawajibisha wahusika wote.Kujaribu kuzoa maji baada ya kumwagika.
Hao kumi na mmoja waliouliwa si watz?
Umesema 'popote walipo' .Mbona mlishindwa kuwalinda hao waliokuwa msumbiji? Mnadhani magaidi ni kama wezi wa kuku? Hebu acheni kujisifia. Udhaifu wenu unajulikana duniani kote.Sasa ulitaka POLISI wetu waje na hapo Nairobi ili kuwalinda watanzania wanaoishi na kufanya biashara, jukumu la kuwalinda ni la nchi husika, ila mkiwadhuru tutajua mumeshindwa kuwalinda, hapo lazima tutakuja kuwawajibisha wahusika wote.
Akili yako ninawasiwasi nayo, umeanza kuzeeka siku hizi, msikilize vizuri IGP anachokizungumza, anasema hivi, " Yeyote atakayemuua au kumdhuru mtanzania popote pale alipo". Sisi hatutokuja Nairobi au Msumbiji kama watanzania hawajaguswa, ila hao waliowauwa watanzania huko Msumbiji, lazima tuende kuwatafuta,.Umesema 'popote walipo' .Mbona mlishindwa kuwalinda hao waliokuwa msumbiji? Mnadhani magaidi ni kama wezi wa kuku? Hebu acheni kujisifia. Udhaifu wenu unajulikana duniani kote.
Kenya sio choo eti mtakuja kuwajibisha watu huku. Vukeni mipaka muone kitakachofuata.Sasa ulitaka POLISI wetu waje na hapo Nairobi ili kuwalinda watanzania wanaoishi na kufanya biashara, jukumu la kuwalinda ni la nchi husika, ila mkiwadhuru tutajua mumeshindwa kuwalinda, hapo lazima tutakuja kuwawajibisha wahusika wote.
Haya jaribuni kumgusa mtanzania japo mmoja tu, muone kitakachowakuta.Kenya sio choo eti mtakuja kuwajibisha watu huku. Vukeni mipaka muone kitakachofuata.
Wala wali waje kupigana na wanaokula ugali? Mtatandikwa hadi mjinyee. Matusi mliyozoea hayatawasaidia kupunguza maumivuAkili yako ninawasiwasi nayo, umeanza kuzeeka siku hizi, msikilize vizuri IGP anachokizungumza, anasema hivi, " Yeyote atakayemuua au kumdhuru mtanzania popote pale alipo". Sisi hatutokuja Nairobi au Msumbiji kama watanzania hawajaguswa, ila hao waliowauwa watanzania huko Msumbiji, lazima tuende kuwatafuta,.
Endapo wakenya mtawagusa watanzania hapo Gikombaa, lazima tutakuja kuwashikisha adabu. Uzuri ni kwamba GoK inafahamu vizuri sana uimara wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, ndio sababu Tanzania ilipomuita balozi wa Kenya kuja kutoa Maelezo kufuatia kauli ya Jaguar, GoK iliangaika sana kuhakikisha ina "impress" serikali ya Tanzania.
Mbona mbashindwa kuwapiga wanywa kahawa Alshabaab wanawauwa kama wadudu kila siku?Wala wali waje kupigana na wanaokula ugali? Mtatandikwa hadi mjinyee. Matusi mliyozoea hayatawasaidia kupunguza maumivu
Ni vigumu kupigana na watu wanaotumia mabomu.Halafu huwa wanavamia wananchi wasio na hatia .Mbona wasijitokeze hadharani kupigana na wanajeshi?Mbona mbashindwa kuwapiga wanywa kahawa Alshabaab wanawauwa kama wadudu kila siku?
Kwahiyo hata kulinda mipaka yenu ili wasiingie nchini kwenu pia mumeshindwa?, hata kulinda kambi za KDF huko Somalia pia hamuwezi?.Ni vigumu kupigana na watu wanaotumia mabomu.Halafu huwa wanavamia wananchi wasio na hatia .Mbona wasijitokeze hadharani kupigana na wanajeshi?
Unafaa ufahamu kwamba, sio mtu mwenye uraia wa Somalia ndiye gaidi pekee. Kunao shababu tokea Tz, Ug, UK, na hata Kenya.. Mipaka ikifungwa je wale shababu Wakenya na Watz nk waliopo ndani ya Kenya? Tena watu wa kawaida sana huwezi washuku. Unafikiri vita dhidi ya ugaidi ni rahisi mkuu? 😂Kwahiyo hata kulinda mipaka yenu ili wasiingie nchini kwenu pia mumeshindwa?, hata kulinda kambi za KDF huko Somalia pia hamuwezi?.
90% ya terrorists wanaofanya attacks hapo Kenya ni wakenya, sponsored by GoK kuwashambulia wapinzani waoUnafaa ufahamu kwamba, sio mtu mwenye uraia wa Somalia ndiye gaidi pekee. Kunao shababu tokea Tz, Ug, UK, na hata Kenya.. Mipaka ikifungwa je wale shababu Wakenya na Watz nk waliopo ndani ya Kenya? Tena watu wa kawaida sana huwezi washuku. Unafikiri vita dhidi ya ugaidi ni rahisi mkuu?
Hukusikia tulivyomteka yule gaidi mtoto wa bilionea tena ndani mipaka yenu?Kenya sio choo eti mtakuja kuwajibisha watu huku. Vukeni mipaka muone kitakachofuata.
90% ya terrorists wanaofanya attacks hapo Kenya ni wakenya, sponsored by GoK kuwashambulia wapinzani wao
Nenda E3Wataje kw majina hao wapinzani...
Mbona huwa tunaingia mara kwa mara tu na kuondoka na Wakenya tunaowahitaji, au unajisahaulisha tu?Kenya sio choo eti mtakuja kuwajibisha watu huku. Vukeni mipaka muone kitakachofuata.