Njopino
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 3,468
- 5,070
Yaaa, amekimbia hadi amepitiliza ila tuendelee kumkumbusha tu, mwengine walimkata masikio akiwa hai. Dar haikuanza leo na mwisho sio mwisho wa uongozi wake, wamepita watu wenye nguvu na umri pia ila mda ukawaamulia. Asijisahau...Ni ushamba tu ,dunia ni moja kuna rais sio mkuu wa mkoa alitunguliwa kwenye parade ya kumsifu.ni miaka ambayo Tanganyika ya NYerere ilishakuwa huru na Si stori za MUsa wa ISrael
Sent using Jamii Forums mobile app
