D
Sijakuelewa, angelikodisha nini?View attachment 1062303
Angelikodisha ningekuwa wa kwanza kulikodi.
Sijakuelewa, angelikodisha nini?View attachment 1062303
Angelikodisha ningekuwa wa kwanza kulikodi.
Huyu bwana mdogo kampa nini Jiwe!Kwenye hio clip anasema
" La nne ni kwa wale ambao mnafikiri mna vyeo vikubwa kuliko mimi, mjifunze kuwa na nidhamu kidogo nawazidi vitu vingi sana na hatulingani. Unaweza ukawa tunalingana kwa umri tumekuwa pamoja ba tumesoma pamoja lakini NAKUZIDI SANAA, kwa hio kidogo uwe na nidhu na wakubwa zako wananitambua."
Mwisho wa kunukuu.
Sasa swali langu ni kuwa huu ujumbe umemlenga nani?
😂😂😂😂 mimi ningekuwa wa 2...nami nipate kalio khaaView attachment 1062303
Angelikodisha ningekuwa wa kwanza kulikodi.
Aa shemeji.Dogo umepotelea wapi
MGC
Kweli mababu zetu waliona mbali sana hasa kwenye ule msemo wa masikini akipata masabuli hulia mbwata.Precisely, anakera sana. Maneno yake yana ukakasi kuyasikiliza, ni mtu mjivuni anayedhani atakuwa hapo alipo siku zote.
[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]View attachment 1062303
Angelikodisha ningekuwa wa kwanza kulikodi.
historia hujirudiahuyu bwana ananikumbusha ubabe wa Dk Kleruu aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa aliyeuawa kwa kupigwa risasi ya kichwa Desemba 25, 1971 na Mzee wetu Mamwindi wa pale ismani,
Nilikuwa mdogo ila nilikuwa nina akili ya kujua nn maana ya nikisikia mtu kauwawa,nakumbuka nilkuwa ninepelekwa mjini kutembezwa sikukuu nilikuwa nimetoka Kijijini kiwere,wakati nipo maeneo ya mshindo ndipo taarifa za huyu bwana kuuwawa nilizisikia,mzee wangu uso wake ulionesha kujawa fulaha na akatamka maneno ya kihehe yaliyomaanisha kuwa "HAKIKA HUYU BWANA NI MWANAUME",
Mwalimu alisikitishwa sana na hbr ile ila wengine walisema ni matokeo ya mwl kutosikiliza alipoambiwa juu ya ubabe wa mtumishi wake kipenzi!!!!!dah sikukuu iliishia mshindo tukaludi kijijini maana polisi walitapakaa mjini!
Mwl alikuwa akipenda mtumishi bhasi hata mseme nini juu ya mtumishi huyu mtakuwa mnajisumbua,kwa mfano alikuwapo RC Songambele,huyu bwana hakujua hata kusoma ila Mwl kwa mapenzi yake alimpa ukuu wa wilaya hadi ukuu wa mkoa matokeo yake watu wakawa wanapiga pesa kwa uzembe wa Songambele(Rejea kisa cha Tanesco aliposainishwa documents za kuidhinisha malipo hewa)
huyu bwana nae asije akafanya historia ijiludie maana maisha yake na Mkuu wa kaya yanafanana na ya Docta kleruu na Mwalimu(wote marehemu)
Manula nae duh!! Yaani yeye macho yote ni kwenye jicho tu!!!!!View attachment 1062303
Angelikodisha ningekuwa wa kwanza kulikodi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watu mna utani mbaya!
Sio. Anamuongelea mtu fulani anayemzidi cheo. Kama sio waziri fulani....mnh...sijui!!!!!Hapo alikuwa anawajibu wasanii kwenye mkutano wao. Akachomekea na mbwembwe kidogo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kasim Majaliwa labda.Sio. Anamuongelea mtu fulani anayemzidi cheo. Kama sio waziri fulani....mnh...sijui!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1062303
Angelikodisha ningekuwa wa kwanza kulikodi.
Duuh[emoji848]Bila makonda hakuna JPM...
Ukimgusa makonda umeshika makalio ya JPM...
Ni either ujiuzulu au utumbuliwe...
Sent using Jamii Forums mobile app