Ujumbe: Hakuna aijuaye Kesho...!



SSM.wrote ni wezi.....
 
Vipi[emoji570] [emoji570] [emoji570] [emoji570] [emoji570]
[emoji568] [emoji568] [emoji545] [emoji545] [emoji545] za serikali na ile pesa ya kaitaba ikowapi
Yeye hakuiba rasilimali za umma tangu enzi za Mkapa hadi za Kikwete?
 
Sisiem ndio mwizi mkuu na kichaka cha wezi wote wanaojulikana na usiowajua ukiondoa sisiem umeondoa wezi na kichaka chao.
 

Sina hakika kama unajielewa, hao mafisadi amewafunga wangapi? lete data hatutaki porojo hapa
 
siku ukianza kutumia kichwa chwko kwakufikiri the whole world will be proud
 
Acha mzaha huo!
 
Mleta Mada Umenena kweli Lowasa Chadema walimtukana na kumwita fisadi kwa miaka 8 leo ndio bosi wao anaongoza Chama
 
~~~>>>Mwaka 2000 Sumaye alikuwa Waziri mkuu Magufuli akiwa Waziri wa kawaida..

Mwaka 2015 Magufuli ni raisi na Sumaye ni Mwananchi wa kawaida.

~~~~>>Mwaka 2007 Lowasa alikuwa ni Waziri Mkuu na Magufuli alikuwa ni Waziri wa kawaida

Mwaka 2015 Magufuli ni raisi na Lowasa ni mwananchi wa kawaida..
 
Umenena kweli Lowasa Chadema walimtukana na kumwita fisadi leo ndio bosi wao anaongoza Chama

Kichekesho ni pale alipohamia cdm ukahamia naye, ulipofika ukakuta huna nafasi ya kukaa mbele ali akupe fungu la shughuli mbalimbali. Ukaamua kurudi ccm kwani njaa ilikuwa imekukamata, tatizo huko ulikorudi ni wale ng'ombe waliokatwa mkia. Bisha tuvute post zako ulizohama nazo na Lowassa kwenda cdm na post ulizorudi nazo ccm. Acha siasa za kipuuzi dogo.
 
Ujumbe mzuri ila kwani ni lipi baya amefanya ukiacha piga sim clouds? Mm nadhani tuzidi kumuombea anafanya kazi nzuri jamani
 
Umenena kweli Lowasa Chadema walimtukana na kumwita fisadi leo ndio bosi wao anaongoza Chama
mnyika lissu halima lema etc walimtukana edo sasa wamefyata mikia. hata mbowe alimtukana sasa amefyata mkia baada ya kumuuzia edo chama. yes aliye juu mngojee
down ila hii ya chadema inatia huruma. halafu maskini lema yuko lupango.
 
"Maneno kuntu" ila hasikii huyo anaeambiwa, ni kumpigia bubu mluzi
 
Ali ni mpuuzi tu kama wewe
 
Ujumbe mzuri ila kwani ni lipi baya amefanya ukiacha piga sim clouds? Mm nadhani tuzidi kumuombea anafanya kazi nzuri jamani
Ungekua jirani ningekupiga na hii chupa ya bia hapa (maana stress mpaka bia haileweshi) hujui unalolisema au unaishi kwake hali ilivyo huku nje huioni
 
Do not reject anyone for his or her current weakness because future is a mystery!...........
................................
...........................


.
.....
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…