Kama ulikuwepo mkuu Nyati!Jamaa ni wa kutoka Uganda? Maana kuna wakati miti ya aina hii ilipandwa na kukawa na vifo vingi vya wamiliki wa nyumba husika. Mwisho wa siku waka conclude kuwa miti ina mkosi, lkn wakati huo miti hii migeni katika nchi ya Uganda ilipandwa na vijana wenye kipato ambao wengi waliathirika na ujio wa AIDS na wakati huo matibabu yalikuwa hafifu hivyo wengi waliishia kufa na hitimisho likawa kuwa ni sababu ya MTI wakati siyo kabisa.
Hongera sana mkuuNi wakati wa kupanda miti yenye kuleta tija. Nyumba sio vizuri ikajazwa miti ya kivuli na mapambo tupu huku wenyewe mna uwanja wa kutosha mnaishia kununua matunda magengeni na juice za mabox. Mimi kwangu mti pekee wa kivuli ni muarobaini tu. Sikutaka uvivu kwenye matunda nimepanda mengi sana ya aina karibia zote.
Hongera sana mkuu
Asante tena ntakuja unisaidie miche ya mitunda ambayo sinayo hapa kwanguAsante mkuu nikihamia tu nitakualika uje tule matunda kuna niliyoanza kula.
Kwa sasa niko bado uswazi ila huwa naenda kuvuna yanayowezekana .
Asante tena ntakuja unisaidie miche ya mitunda ambayo sinayo hapa kwangu
Mti huu ni ule ukifika 12 jioni unanukia harufu nzr?Ni huo mkuu niundoshe ?View attachment 607745View attachment 607746
Migomba ninayo aina zote naishi migombani mkuu, napenda matunda hapa mitunda niliyonayo haizidi kumi coz Nina miti ya maparachichi, miembe, machungwa zambarau mananasi mafenesi mapera makomamanga,Nitakupa ila mimi mingi sana ninaibeba Morogoro. Ilikuwa kila nikienda nabeba miche yangu. Migomba nitakugawia pia kama una eneo la kufaa migomba.
Migomba ninayo aina zote naishi migombani mkuu, napenda matunda hapa mitunda niliyonayo haizidi kumi coz Nina miti ya maparachichi, miembe, machungwa zambarau mananasi mafenesi mapera makomamanga,
Machenza sitafeli sinayo na matunda mengineyo mkuu
Uko vizuri mkuuStafeli ninao na nimeanza kula , mlimao ,mndimu pia. Nilipata miche SUA.
Ah wee! Bado mshelisheli, mabungobungo, mpasheni, Mforosadi, Mfenesi, Mzambarao, Mzabibu n.k....Uko vizuri mkuu
Mapasheni ninayo nilisahau lbd hayo mengineAh wee! Bado mshelisheli, mabungobungo, mpasheni, Mforosadi, Mfenesi, Mzambarao, Mzabibu n.k....
Hapana hauna harufu yoyoteMti huu ni ule ukifika 12 jioni unanukia harufu nzr?