Ujue Mti chonganishi

Mara nyingi watu wa botany wanajua vizuri aina za miti ya kupanda karibu na nyumba ila mimi nakushauri panda miti ya matunda yanayoliwa na binadamu
 
Mara nyingi watu wa botany wanajua vizuri aina za miti ya kupanda karibu na nyumba ila mimi nakushauri panda miti ya matunda yanayoliwa na binadamu
 
Mara nyingi watu wa botany wanajua vizuri aina za miti ya kupanda karibu na nyumba ila mimi nakushauri panda miti ya matunda yanayoliwa na binadamu
Sawa kiongozi, ngoja nifuatilie nione ni mti gani mzuri wa matunda waweza pia tumika kwa kivuli na wakati huo huo usisambaze mizizi. Uwe ni mti wenye mzizi mkuu
 
Kaka Mshana Jr, ukifa utaacha pengo kubwa sana
 
Yeah mkuu mshana kuna miti ambayo si dawa wala sio ya matunda now days imekua ni comon sana mm sipend hata mmoja nahis walioileta walikua wana maana ikiwemo michongoma
Kwa ss waislam ukiifutilia kiundan utagundua khii mit n haram kuipanda
 
kaka mshana utasababisha deforestation hapa nchini...wananchi watakata miti yote. huoni kama huu ni uchochezi dhidi ya miti, unagombanisha raia na miti yao?
 
Haki ya MUNGU kwetu upo na hapa ninatype ila tayari mzee kashaondoka mambo hayaendi,migogoro kila Siku yan full purukushani. MOLA akuzidishie pumzi mshana uendelee kutusanua nafanya mpango wa kusaka mtu aje aukate leo leo
 
Haki ya MUNGU kwetu upo na hapa ninatype ila tayari mzee kashaondoka mambo hayaendi,migogoro kila Siku yan full purukushani. MOLA akuzidishie pumzi mshana uendelee kutusanua nafanya mpango wa kusaka mtu aje aukate leo leo
poleni sana
 
una jina zuri lakini uhalisia ni tofauti kabisa.. Uhalisia ni bustani ya kifo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…