Ujio wa tecno ...android kwa wote

Mkuu sasa hizi zinapatikana hapa bongo mfano hii yenye picha?
maana nimeona kweli tunaibiwa maana vi RAM vya ki.se.nge

Mkuu chief-mkwawa kuna cmu nimeiona Star N9599 ina range $199-$229 + free shiping.Je hii cmu inaweza patikana bongo?


zipo mkuu, mimi sifahamu sana mlolongo wa dar unavyokwenda ila najua kila siku ya mungu watu wanaenda kufungasha china. tafuta sehemu wanapouza clone clone (wale wanaozifata china) then waulize au toa order yako wakienda wakuletee.
 
Mchina aniniboa kwenye RAM tu chief-mkwawa Hivi hizi S4 Clone za ukweli zina RAM kiasi gani?
 
Last edited by a moderator:

Mkuu Hv Ikitoke Nmenunua Bidhaaa Kama Hii Af Ikiwa Na Lugha Ya Kichina Kuna Uwezekano Kuweka Custom Ya English?? Maana Nahs Kama Makampuni Ya China Kama Haya Kupata Custom Ya English Itakua Kazi Hv!!
 
Mkuu Hv Ikitoke Nmenunua Bidhaaa Kama Hii Af Ikiwa Na Lugha Ya Kichina Kuna Uwezekano Kuweka Custom Ya English?? Maana Nahs Kama Makampuni Ya China Kama Haya Kupata Custom Ya English Itakua Kazi Hv!!

labda kampuni ifanye uhuni kuzitoa lugha ila by default zinakua mule mule ndani chakufanya unachange kwa kufata msaada wa screenshot online(maana huelewi kichina)
 
Mfano mzuri mkuu ni huawei y300, nlikuwa naifanyia test nikilinganisha na samsung galaxy S, na ilikuwa better, kuna huawei g700 au g610s zenye bei ya almost 400000 kwa 350000 na ni better kuliko tecno, pia kuna faea f1 yenye nfc

Mkuu umenena huawei ni # nyingine
 
Wachina majanga tu.. mimi nina huawei y300 inanisumbua sana nikiwa naongea na mtu mara nyingi huwa sauti inakata sisikiki.

Na hata nilivyopitia gsmarena.com watu wengi naona wamecomment tatizo hilo.

Hapa najichanga ninunue s3 yangu nitulie.

Tatizo la y300 chaji kwa siku unachaji Mara 3 kwa matumizi ya kawaida tu
 
Kuna i note mini ya itel the chipest android phone.Hivi hyo Android software Google wanauza?
 
Wachina majanga tu.. mimi nina huawei y300 inanisumbua sana nikiwa naongea na mtu mara nyingi huwa sauti inakata sisikiki.

Na hata nilivyopitia gsmarena.com watu wengi naona wamecomment tatizo hilo.

Hapa najichanga ninunue s3 yangu nitulie.

Mimi nina Y300, huu mwezi wa tatu tangu niinunue,sijakutana na tatizo hilo.
 
Mkuu chif mkwawa heri yamwaka mimi nilikuwa naomba msaada kwako jinsi ya kujirejest na huduma ya Samsung application maana kila nikiingiza email yangu inaniambia incorrect Pasword na wakati password ninayotumia kwenye email ni ileile naomba msaada mkuu
 

kaka unatakiwa utengeneze samsung account pale hawahitaji email na password yako.

badala ya kulogin we click register halafu fuata maelekezo ukisha register ndo utaeka email na password mpya uliotumia kuregister. pia unaweza kuregister na password ile ile ya email yako
 

Kipendacho rohoooo...ivi unafananisha techno na galaxy duh ama kweli wabongo sisi...ebu angalia kigezo kimoja tu cha Quality kati ivo vitcno venu na Sammy.
 
Wachina majanga tu.. mimi nina huawei y300 inanisumbua sana nikiwa naongea na mtu mara nyingi huwa sauti inakata sisikiki.

Na hata nilivyopitia gsmarena.com watu wengi naona wamecomment tatizo hilo.

Hapa najichanga ninunue s3 yangu nitulie.

Tatizo la sauti katika Y300 mshaambiwa kama ume-install Viber na WhatsApp kwenye cm yako,uninstall App mojawapo kati ya hzo mbili.Hope u will opt Viber Out.Then Angalia kama tatizo bdo lipo alma VP?!
Ukishindwa,endelea kujichanga....
 

nakuhakikishia hizi sio simu... Na siwezi kuzinunua hata iweje labda siku moja nione wamebadilika kwenye hardware wakatumia mambo ya maana... Mfano kioo kiwe corning gorilla.. N.k. Hizi simu ukiongea kwa zaidi ya dakika 15 zinapata moto,na inaanza kukatakata kama vile network ndio shida.. Kumbe tatizo simu. Simu huwezi kupata updates kutoka kwa manufacturer... Mfano nokia Lumia last year wameongeza kitu kinaitwa NOKIA AMBER juu kwa juu! unainunua simu iko tofauti lakini ma updates ya ukweli unaiona simu mpya kila siku.. We nunua tecno halafu baada ya miezi mitatu unaiona haina maana! Ikidondoka kwisha habari yake.. Kioo pasuka, na shida zengine kibao.. Labda nimnunulie mtu ila sio yangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…