AL-HIKMA FOUNDATION
Member
- Jun 2, 2017
- 36
- 89
Mgeni rasmi ni Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa, mgeni maalumu ni imamu mkuu wa Makkah na Madina sheykh Sudeys na wageni waalikwa ni maraisi wawili wastaafu, Alhaji mzee Mwinyi ambaye pia ni mlezi wa Taasisi ya Alhikma na Mh. Dr. Jakaya Kikwete, raisi mstaafu wa awamu ya nne... Karibuni sanaMgeni rasmi ni nani?
Qur-an ni muongozo kwa walimwengu wote. Naomba unipm ndugu mwema ili nikupe special treat siku ya Mashindano mana unaweza kuja ukakuta uwanja ushajaa. WOTE MNAKARIBISHWAMakafiri tunaruhusiwa?
Mgeni rasmi ni Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa, mgeni maalumu ni imamu mkuu wa Makkah na Madina sheykh Sudeys na wageni waalikwa ni maraisi wawili wastaafu, Alhaji mzee Mwinyi ambaye pia ni mlezi wa Taasisi ya Alhikma na Mh. Dr. Jakaya Kikwete, raisi mstaafu wa awamu ya nne... Karibuni sana
Kamwe hakuna kweli mbili. Moja ya hizo post mbili hapo juu ni uongo, tena unadiriki kudanganya katika mwezi mtukufu wa Ramadhan.Taasisi ya Alhikma Foundation chini ya usimamizi wa sheykh Nurdin Kishki inawaletea mashindano makubwa zaidi ya kuhifadhi Qur-an Afrika, mgeni rasmi akiwa Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa na mgeni rasmi katika mashindano ya 18 mwaka huu ni Imamu Mkuu wa Makkah na Madina, Sheykh Abdulrahman Sudeys siku ya tarehe 11 June 2017,Uwanja mkubwa wa Taifa.HAKUNA KIINGILIO. NYOTE MNAKARIBISHWA
AmeeeenMaansha'ALLAH!!
Allah atukopeshe pumzi ili siku hiyo itukute tukiwa hai Insha'Allah.
Kumradhi, mgeni rasmi ni Waziri Mkuu, na mgeni maalum ni Sheykh Sudeys ka nilivyoambatanisha tangazo kuwa sheykh Sudeys ni mgeni maalum. Haikuwa nia kupotosha wala kuongopaKamwe hakuna kweli mbili. Moja ya hizo post mbili hapo juu ni uongo, tena unadiriki kudanganya katika mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Mamlaka ya Uwanja wa Taifa ni wahusika wa swali lako, sisi hatuhusiki na wala hatujui hata maombi ya Taasisi nyingine juu ya kutumia uwanja. Karibu sana nduguMbona tukitaka kusali uwanja wa taifa sala ya Eid tunakatazwa????