Ujio wa sheykh Sudeys Tanzania

Jun 2, 2017
36
89
Taasisi ya Alhikma Foundation chini ya usimamizi wa sheykh Nurdin Kishki inawaletea mashindano makubwa zaidi ya kuhifadhi Qur-an Afrika, mgeni rasmi akiwa Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa na mgeni maalum katika mashindano ya 18 mwaka huu ni Imamu Mkuu wa Makkah na Madina, Sheykh Abdulrahman Sudeys siku ya tarehe 11 June 2017,Uwanja mkubwa wa Taifa.HAKUNA KIINGILIO. NYOTE MNAKARIBISHWA
 
Kamwe hakuna kweli mbili. Moja ya hizo post mbili hapo juu ni uongo, tena unadiriki kudanganya katika mwezi mtukufu wa Ramadhan.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…