Ujio wa sheykh Sudeys Tanzania

Jun 2, 2017
36
89
Taasisi ya Alhikma Foundation chini ya usimamizi wa sheykh Nurdin Kishki inawaletea mashindano makubwa zaidi ya kuhifadhi Qur-an Afrika, mgeni rasmi akiwa Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa na mgeni maalum katika mashindano ya 18 mwaka huu ni Imamu Mkuu wa Makkah na Madina, Sheykh Abdulrahman Sudeys siku ya tarehe 11 June 2017,Uwanja mkubwa wa Taifa.HAKUNA KIINGILIO. NYOTE MNAKARIBISHWA
fd45d5620322ab793bf900bef65b5788.jpg
 
Mgeni rasmi ni Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa, mgeni maalumu ni imamu mkuu wa Makkah na Madina sheykh Sudeys na wageni waalikwa ni maraisi wawili wastaafu, Alhaji mzee Mwinyi ambaye pia ni mlezi wa Taasisi ya Alhikma na Mh. Dr. Jakaya Kikwete, raisi mstaafu wa awamu ya nne... Karibuni sana
Taasisi ya Alhikma Foundation chini ya usimamizi wa sheykh Nurdin Kishki inawaletea mashindano makubwa zaidi ya kuhifadhi Qur-an Afrika, mgeni rasmi akiwa Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa na mgeni rasmi katika mashindano ya 18 mwaka huu ni Imamu Mkuu wa Makkah na Madina, Sheykh Abdulrahman Sudeys siku ya tarehe 11 June 2017,Uwanja mkubwa wa Taifa.HAKUNA KIINGILIO. NYOTE MNAKARIBISHWA
fd45d5620322ab793bf900bef65b5788.jpg
Kamwe hakuna kweli mbili. Moja ya hizo post mbili hapo juu ni uongo, tena unadiriki kudanganya katika mwezi mtukufu wa Ramadhan.
 
27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom