Siyo ubahili mapenzi si pesa tu bali Mke mwenye hekima,mnyenyekevu,muelewa na mkarimu hakika Mme hawezi tamani mchepuko au kununua midoll badilikeni tujenge familia boraUbahili tu na uvivu wenu ndo unawafanya muone midoli ni bora...
Hawa nao wanalia kimahaba? Na mguu anaweza kuuweka dirishani?
Unafuta. Material yake ni Kama spochi lainiSijajua kuhusu usafi wa midoli unakuaje....hasa ukishamwaga wazungu....au ndio inabidi ulioshe tena... Kama ndio hivyo hiyo itakuwa changamoto.
Original ni Original Tu! Mwanamke ni OG 😀😀😀😀Hahaha mwanamke naona kama anaisha soko hivi!
😀😀😀😀😀😀😀😀Likigoma kutoa mzigo, unali reset to default
😂😂😂😂😂😂😂😂Kwa wanawake wetu wa kibongo bado atakuletea wivu atakwambia tumia mkono.
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Bei ya mahar then huna gharama tena au sio mzee babaHizi ndio gunduzi tunazo zitaka
Inatoa miguno yote na inakatika balaa wazungu unawaona wa mchezo mchezoMi ntakuoa siwezi hangaika na hiyo Midoli isiyoongea
Hata Kama siwezi chukua hiyo midoliInatoa miguno yote na inakatika balaa wazungu unawaona wa mchezo mchezo
Feni ikasome
Ndio tunaliaaa😄😄😄Kwani siku hizi kuna wadada wanolia kimahaba zaidi ya maigizo?
Tumezoea Cc;Smart911Aiseeh!!