Ujio wa Kamala Harris Tanzania inaweza kuwa ni shubiri kwa nchi yetu

Daisam

JF-Expert Member
May 23, 2016
2,626
3,141
Kwa maoni yangu, ujio wa Makamu wa Rais wa Marekani Tanzania kwa zaidi ya 75% inaweza kuwa ni JANGA kwa Tanzania.

(1) Kiongozi wa Marekani kufanya ziara ya siku 3 Tanzania, faida yake inaweza kuwa ni ndogo zaidi kuliko hasara.
(2) Bush aliyekuwa Rais wa Marekani wakati huo aliwahi kufanya ziara ya siku 4 hapa Nchini, tulichoambulia ni kupata Vyandarua vingi sana na viligawiwa karibu kwa kila mtu.

Matokeo yasiyo rasimi ya Vyandarua hivyo yalikuwa kama ifuatavyo:-
(a) Waliotumia Vyandarua vile walisadikiwa kupata matatizo ya kiafya.

(b) Baada ya Vyandarua vile, hata maeneo ambayo hayajawahi kuwa na mbu, saa hizi kuna mbu chungu mzima.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
 
Akifika tu huyu VP, henceforth internet itakuwa very fast and gharama za bando zitapungua kwa 76 to 80%. Bei ya ngano na sembe itashuka. Nauli itakuwa ahueni. Mafuta ya kula na ya vyombo vya moto, bei chee. Kodi zote zitaondolewa! Karibu sana Tanzania, Kamala Harris!

Mgeni Njoo, Mwenyeji Afe!
 
Bila shaka atashukia pale Airport mpya, ataona madege ya Airtanzania yamepark pale, atapanda pale juu tazara, atapanda pale juu chang'ombe, atapita pale kamata ataulizi hiki nini ataambiwa train ya umeme hiyo inakwenda 1000Km..

Bila shaka atapita pale Tanzanite bridge kuelekea kwenye ile base yao ya kijeshi pale msasani, ataona mengi... mumpeleke Stieggler akaone ujenzi wa 2100MW hydro-power plant.

Mwisho kabisa ataambiwa kuna Chizi (mwamba) mmoja aliongoza hii nchi miaka sita tu, hakwenda USA wala Ulaya, wala hakutembelewa na kiongozi yeyote wa USA wala Ulaya ndio kafanya yote haya.
 
Kesho jiji litakuwa na foleni balaa.. kama huna safari isiyo na muhimu bora ulale ndani tu.
 
Bila shaka atashukia pale Airport mpya, ataona madege ya Airtanzania yamepark pale, atapanda pale juu tazara, atapanda pale juu chang'ombe, atapita pale kamata ataulizi hiki nini ataambiwa train ya umeme hiyo inakwenda 1000Km..

Bila shaka atapita pale Tanzanite bridge kuelekea kwenye ile base yao ya kijeshi pale msasani, ataona mengi... mumpeleke Stieggler akaone ujenzi wa 2100MW hydro-power plant.

Mwisho kabisa ataambiwa kuna Chizi (mwamba) mmoja aliongoza hii nchi miaka sita tu, hakwenda USA wala Ulaya, wala hakutembelewa na kiongozi yeyote wa USA wala Ulaya ndio kafanya yote haya.
Umeandika kana kwamba huyo "mwamba" amefanya kwa hela zake mfukoni.
 
Back
Top Bottom