Ujio mpya wa stereo(singasinga) ndani ya WCB

Uwezo wake wa kutunga umeisha kubadilisha kazi za watu ambao wameshatunga na kutoka na kusema wametunga? Ukifuatilia kiutaalamu huo wimbo wake melody pamaja na beat ni mutatis mutandis na huu wimbo
 
Wapendwa naomba kuuliza.Hivi hawa wasanii wanapataje faida kwenye kazi zao.Niki6angalia gharama za maandalizi ni kubwa.Je wanategemea CD kuuza na kupata faida?Msanii anaandaa kazi yake Afrika ya kusini kwa mfano.Tiketi za ndege,hotel,nk.Kazi zao nazikuta kwenye google nadownload 'for free' au wanalipwa na google pia?Vituo vya redio na TV?
Mapato ni:

1. "Shows

2. YouTube

3. Kuuza Nyimbo mitandaoni

4. Endorsement kama Mungu akijaalia
 
Huyu jamaa alikuwa mgumu balaa. Ukiskia stereo unavuta taswira ya Swahili, hainangwasu, nawadabisha n.k.

Kuingia WCB nafikiri kutamsukuma. Kama ni talent anayo promo kupitia WCB atazipata za kutosha. Tutegemee makubwa kutoka kwake. Hii ni track yake ya kwanza aliyofanya na mavoko baada ya kuingia kwa Chibu. Hongera.

Eh eh dogo banker?Naona anapost IG yake sana equity bank
Huyu jamaa ataacha na kazi benki sasa
 
Nimeelewa kuwa Diamond anampenda Stereo na amempa platform ya kurecord wasafi studio kama ambavyo alifanya kwa dully Sykes Q Chillah Yamoto band Ray C na wengine na haina maana kuwa kamsign
Kwa hiyo jamaa amepewa platform ya kurecord wasafi kufanyiwa video na wasafi na promo kufanyiwa na wasafi halafu hakuna kitu kati yao?
 
Kwa hiyo jamaa amepewa platform ya kurecord wasafi kufanyiwa video na wasafi na promo kufanyiwa na wasafi halafu hakuna kitu kati yao?
Yeah same to Dully Sykes ile "INDE" ili 'rekodiwa' na Wasafi Studio ikafanyiwa video kwa gharama za Wasafi na hata promo,interview booking zote zilikuwa zinagharamiwa na management ya Wasafi but nothing kilikua kinaendelea kati ya Dully na Wasafi ni love tu ya Diamond kwa wasanii anaowakubali
 
Back
Top Bottom