kipwate
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 517
- 509
Hata simba kwake nyama chomaChundabadi mujahidina!
Hata simba kwake nyama chomaChundabadi mujahidina!
Kwangu huwa nasema anayefanya mziki ndiye anajua anachogain.Kuna watu wana WIVU nchi hii yan wakiona umeenda WCB wanatokwa povu.Hivi mziki wa nikki,songa,chindo na wagumu wengine unawasaidia nini??manake un
mziki ni kazi kwa sasa masuala ya harakati achieni wana siasa
hahaha, nafkr ilishndwa tu kumwelewa mchiz but sidhan kama hali ya uchumi ya mshkaj ilkuw sababu.Ile nyapu aliyokua anafukuzia kipindi kile huenda sasa hivi itajileta yenyewe!
Hahahaha!! Ile chemi??..mkuu mungu anakuona..Ile nyapu aliyokua anafukuzia kipindi kile huenda sasa hivi itajileta yenyewe!
Nash Mc anadai hata wahonge Nyumba,gari waongeze na meli hawezi ikacha tamaduni yake..Kilingeni wameisha wote, amebaki nani Nash MC? Ila kumbukeni Stereo alishawahi kujaribu mainstream under AY akafeli, subiri tuone WCB
Laiti kama ungefahamu mchango wa One kwa Stereo tangu kuanza kwa game yake ya music, usingesifia ujio wake kwa Single moja tu..anyway ngoja tuone!Tena ndiyo mambo yamekuwa mazuri zaidi.
Laiti kama ungefahamu mchango wa One kwa Stereo tangu kuanza kwa game yake ya music, usingesifia ujio wake kwa Single moja tu..anyway ngoja tuone!
Ndiyo.