Mtumwa wa kweli
Member
- Feb 11, 2011
- 71
- 6
Nawasalimuni ninyi nyote,
leo nina swali dogo tu, je hakuna ujinga wenye faida? je makosa yote tunayofanya hayana faida yoyote? hebu tupatie ujinga wenye faida ili tuweze kujifunza.
leo nina swali dogo tu, je hakuna ujinga wenye faida? je makosa yote tunayofanya hayana faida yoyote? hebu tupatie ujinga wenye faida ili tuweze kujifunza.