ujinga ni kwenda bank kutoa fedha kwenye ATM lakini unahesabu tena wakati machine imeshahesabu....Hebu na wewe andika Maada inayoanzia na NENO...UJINGA NI.......
Ujinga ni kwenda msalani na ukimaliza shughuli ndo unaangalia kama maji/TP yapo/zipo kumbe hakuna...........
Hapo unatoka na lundo la manzi.... yaking'ong'a