Think2
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 2,193
- 3,957
Kwa mtazamo wangu huu uwanja hauwezi kukamilika sababu ni hizi
1)Kiwanja kipo maporini sana italazimika waanze kujenga miundombinu kama mabarabara , hospital , maduka n.k
2)Bajeti kubwa ya usalama hasa ulinzi mkali maeneo yote ya uwanja maana uko msituni
3)Pesa za afcon mkazitumia kwenye siasa mkasahau mradi kitawalamba tu .
4) Mradi umebakuza takribani miezi tu unadhani utakamilika pitch bado viti kufungwa bado kuweka mataa bado yaani ni zero
5) Mkandarasi akamatwe huwezi peleka kiwanja porini sisi sio sokwe .
6)Sasa mmeomba backup kutoka China wamalizie uwanja mshavurunda turudishe mpira kwa kipa wapewe rwanda.
Afcon inakuja kwenye nchi ambayo hata miundombinu kama barabara ni changamoto, maji hakuna, hospital hadi sasa hazijajengwa anyway ukichanganya siasa na michezo mwisho wa siku inakuaga hivyo .
Ukicheki uwanja wa kenya uko vizuri wamebakiza pitch tu wakamilishe facilities zingine nikumalizia tu
Uongozi mbaya husababisha miradi kufa .
Mliwambia how are you kumbe nahela hamna mlitegemea kukopa ili mkamilishe ujenzi , tajiri hanuniwi aya sisi yunataka uwanja ukamilike
1)Kiwanja kipo maporini sana italazimika waanze kujenga miundombinu kama mabarabara , hospital , maduka n.k
2)Bajeti kubwa ya usalama hasa ulinzi mkali maeneo yote ya uwanja maana uko msituni
3)Pesa za afcon mkazitumia kwenye siasa mkasahau mradi kitawalamba tu .
4) Mradi umebakuza takribani miezi tu unadhani utakamilika pitch bado viti kufungwa bado kuweka mataa bado yaani ni zero
5) Mkandarasi akamatwe huwezi peleka kiwanja porini sisi sio sokwe .
6)Sasa mmeomba backup kutoka China wamalizie uwanja mshavurunda turudishe mpira kwa kipa wapewe rwanda.
Afcon inakuja kwenye nchi ambayo hata miundombinu kama barabara ni changamoto, maji hakuna, hospital hadi sasa hazijajengwa anyway ukichanganya siasa na michezo mwisho wa siku inakuaga hivyo .
Ukicheki uwanja wa kenya uko vizuri wamebakiza pitch tu wakamilishe facilities zingine nikumalizia tu
Uongozi mbaya husababisha miradi kufa .
Mliwambia how are you kumbe nahela hamna mlitegemea kukopa ili mkamilishe ujenzi , tajiri hanuniwi aya sisi yunataka uwanja ukamilike