Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 4,735
- 11,090
Ndugu zangu waislamu, nimekuwa nikitembea maeneo mengi sana, misikiti inajengwa hata sehemu kusipokuwa na waumini wa kuswali ndani ya misikiti hiyo.
Muda wote inakaa imefungwa tu, misikiti imekuwa ni nyumba za popo. Misikiti hii mingi inajengwa kwa fedha zinazotolewa na wafadhili.
Vipo vitu vingi vya kujenga na M/Mungu akatulipa kama sadaka inayoendelea endapo tutaondoka katika dunia hii, mfano visima, mashule, na hospitali, lakini kuna waislamu wenzangu wanapopewa pesa na wafadhiri ili kuimarisha miradi ya waislamu, lakini kinachofanyika ni upigaji wa fedha za wafadhiri inatolewa milioni 50 unajengwa msikiti wa milioni 15 pesa yote inayobaki inaishia kwenye mifuko ya kanzu.
Muda wote inakaa imefungwa tu, misikiti imekuwa ni nyumba za popo. Misikiti hii mingi inajengwa kwa fedha zinazotolewa na wafadhili.
Vipo vitu vingi vya kujenga na M/Mungu akatulipa kama sadaka inayoendelea endapo tutaondoka katika dunia hii, mfano visima, mashule, na hospitali, lakini kuna waislamu wenzangu wanapopewa pesa na wafadhiri ili kuimarisha miradi ya waislamu, lakini kinachofanyika ni upigaji wa fedha za wafadhiri inatolewa milioni 50 unajengwa msikiti wa milioni 15 pesa yote inayobaki inaishia kwenye mifuko ya kanzu.