tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
tatizo ninaloliona ni kuwa wale wenyeji watanufaika vipi na vitega uchumi hivi? waliowengi ni watu wa hali ya chini hasa kielimu. otherwise Bagamoyo ni eneo ambalo litawanufaisha wengi ni kama dar es salaam hainufaishi wazalamo pekee bali nchi nzima. hebu nenda pale uone profile za watu wanaofaza kazi/kufanya biashara pale utajua
Mungu kwa nini hujapenda kutupa viongozi wenye kuona mbali? Kwa nini huturudishii Nyerere
Fallacy ya argument yako inatokana na kujikita kwake katika averages.
Si kila mtanzania ni "lame", na hata kama wasio lame ni wachache, bado wana wajibu wa kutaka uongozi bora na kutoa ushawishi kwa wale wasiojua/ tegemea uongoi bora.
Kauli yako imekata tamaa. Concept nzima ya maendeleo inatokana na kuelewa limitations za the human condition, lakini kuelewa pia kwamba hata kama tuna limitations, tunaweza kufanya gradual advancement.
Kama si hivyo dunia nzima ingekuwa inalala na kuishi kijima tu.
Ndugu truth hurts,i get it,you are one of the brave ones,YOU are just not enough to CHANGE anything,although you can just be a catalyst for more changes,and this process my friend takes YEARS.SIO KUKURUPUKA,just like you jumped on what i wrote.
Maeneo mengi ya Bagamoyo, waungwana wameshajigawia mapema wazawa wanasogezwa mbali sana na hizi sehemu miradi ilipo. Watakaofaidi kwa kiasi kikubwa sio Wakwere kama wengi tunavyodhani.