tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
....naomba kiongozi yoyote wa juu wa serikali atueleze master plan ya vitu kama hivi iko vipi...yaania if to build anew public university what is the place, if it is to construct a new port,what is the place? au ni kufikiria kuvuka daraja ukishafika hapo darajani? au ni kwa fikra za mkuu aliyepo madarakani? kwa mpango huu naona masuala ya Jamhuri ya Watu wa Tanzania Kusini na Kaskazini inanukia...People's Republic of Souther/Northern Tanzania.