Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa wilaya ya Chato mkoani Geita

Akili za kushikiwa hizi za kuandika kitu ambacho hakihusiani kabisa na mjadala husika.

Matatizo ya kuukimbia umande haya. Jaribu kuelewa mjadala husika kama hujaelewa kinachojadiliwa ni bora kukaa kimya badala ya kuonyesha ujuha wako hadharani.

Mkoa wa Kilimanajo una eneo dogo na wakazi milioni 1 laki nane. Una hospitali 2 za rufaa na hospitali 1 ya rufaa ya kimataifa. Una hospitali 9 za Wilaya zinazojisheleza kwa kila namna. Mkoa wa Geita ni mkubwa mara 3 kwa eneo kuliko Mkoa wa Kilimanjaro na una wakazi milioni 4. Hauna hospitali ya wilaya hata moja inayojitosheleza, haina ya rufaa, haina ya rufaa ya kimataifa. Hizo bajeti za Kilimanjaro alichota nani akalipia nani? Kwani wananxhi wa Geita siyo watu? Na hapo hujasema shule za sekondari wala chuo kikuu wala barabara za lami wala umeme kijijini. Twende Ruangwa Mkoa wa Lindi kwa Waziri Mkuu nako hata minaya ya Vodacom hawana hata barabara ni porini tu, lakini eneo kubwa watu wengi. Ilikuwaje hali ikawa hivi? Ni demokrasia au ni watendaji walioshika hatamu? Na hso waliopendelewa kupitiliza mbona hawana shukurani wanaichukia VCM leo? Ni bahati nzuri tu (au ni mbaya?) kuwa Rais na Waziri Mkuu wa Awamu ya 5 wanatoka maeneo yaliyosahauliwa kabisa na watendaji huko nyuma, kila wakitaka kurekebisha uwiano wanaonekana kama wanajipendelea kumbe sivyo.
 
Hata miye nikiupata huo uwaziri mkuu au uraisi,nitajenga ya rufaa pale Singida mjini.

Na nitahakikisha kwa pesa ya Serikali au michango binafsi ya wana Singida kila kata inakuwa na shule ya Sekondari katika kila kijiji chake.

Bahati nzuri Singida ishaunganishwa na lami,grid ya taifa ya umeme,kilichobaki ni kujenga vyuo vikuu kama vitatu pale,kimoja Kiomboi,viwili pale Singida mjini ili kuongeza mzunguko wa hela,kuongeza muuingiliano wa watu na pia kuchochea biashara!

Uwanja wa ndege pia lazima uwepo,pamoja na mambo mengine ili kusaidia usafirishwaji wa nafaka kama mtama ambao umekuwa na soko kubwa kule Kenya,na pia usafirishwaji wa watu na bidhaa mbalimbali.
 
utekelezaji wa ilani ya CCM; kuwapelekea wananchi huduma za kijamii.
 
Mkoa wa Kilimanajo una eneo dogo na wakazi milioni 1 laki nane. Una hospitali 2 za rufaa na hospitali 1 ya rufaa ya kimataifa. Una hospitali 9 za Wilaya zinazojisheleza kwa kila namna. Mkoa wa Geita ni mkubwa mara 3 kwa eneo kuliko Mkoa wa Kilimanjaro na una wakazi milioni 4. Hauna hospitali ya wilaya hata moja inayojitosheleza, haina ya rufaa, haina ya rufaa ya kimataifa. Hizo bajeti za Kilimanjaro alichota nani akalipia nani? Kwani wananxhi wa Geita siyo watu? Na hapo hujasema shule za sekondari wala chuo kikuu wala barabara za lami wala umeme kijijini. Twende Ruangwa Mkoa wa Lindi kwa Waziri Mkuu nako hata minaya ya Vodacom hawana hata barabara ni porini tu, lakini eneo kubwa watu wengi. Ilikuwaje hali ikawa hivi? Ni demokrasia au ni watendaji walioshika hatamu? Na hso waliopendelewa kupitiliza mbona hawana shukurani wanaichukia VCM leo? Ni bahati nzuri tu (au ni mbaya?) kuwa Rais na Waziri Mkuu wa Awamu ya 5 wanatoka maeneo yaliyosahauliwa kabisa na watendaji huko nyuma, kila wakitaka kurekebisha uwiano wanaonekana kama wanajipendelea kumbe sivyo.
We jamaa....mkoa wa Geita unawatu millioni 4?
 
Kwani jamani hebu tuachane na ushamba balabala na chuki kwani si kila rais akiwa madarakani huwa Kuna fungu linatoka serikalini ili rais aweze kufanya ukarabati kwa eneo Lake analotoka then baadae akishakuwa retired anakwenda kuishi katika mazingira mazuri..... Au take example kwa mji wa rais watu mstaafu kwake kulikuwa vile kabla hajawa rais wa nchi???
 
Huwezi kuwa na nafasi kama yake ukasahau kwenu, wengine walijenga barabara wengine waliitaka hata bandari.

Ajenge na viwanda vijana wapate ajira.
 
Maisha ya siku hizi ni ya kuhama hama sana, mi naona kwa vile inajengwa ndani ya Tanzania yeyote anaweza kupata Huduma ya afya hapo bila shida. Natumai kuona sehemu nyingine nyingi tu ndani ya Tanzania huduma za kijamii zinaendelezwa hawamu hii.
 
Hivi Kilimanjaro kuna hospitality ya rufaa ya Serikali?? KCMC ni ya walutheri na hii imejengwa kwa michango ya waumini.Siyo kila kitu kilichopo Kilimanjaro ni Serikali. Tanzania ni zaidi ya Kilimanjaro. kuna mikoa 120 hivi mikoa mingine haihitaji Huduma ni Chato tu?
Mikoa 120?!!
 
Back
Top Bottom