sikongefdc
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,612
- 2,146
Nasema hivi, endelea kujenga mzee Magu yaani jenga tu ila umetusahau na huku KAHAMA. Huku ukijenga hata University inatosha sana yaani ukimaliza tu kujenga ka uni tuache usilete chochote tuko vizuriiii. Wakiendelea kuzingua tujikate zetu aalaaah maana tuna kila kitu madini,maziwa,fertile land, na mengine mengiiii