Ina mana mzungu akishasema hivo basi nasisi tuwaige? Huko Ni Bara lingine bana, sio kila kitu tuamini wazungu tuUnatamani kulala juu ya ghorofa? Nchi kama Singapore watu wengi wanatamani japo siku moja tu walale nyumba ya chini, ground floor,Europe wengi wanatamani wangekua na uwezo wa kupata kiwanja ili wajenge nyumba ya chini! Anyway good lucky ila naamini ukisha lala ghorofani utaijua thamani ya kua na Nyumba ya chini,naongea kwa experience niliyoipitia.
Bila kusahau kwenda kupata stika.....la sivyo akiweka slub tu atasumbuliwa..... na akiwa na mkono mzito fine si chini ya m5 kama sikoseiMkuu nafuta kwanza Land surveyor, akapime kiwanja chako then ile michoro & Data aipeleke kwa Townplanners wa Halmashauri husika kuidhinisha ule upimaji then utaanza kufanya taratibu wa kupata hati milliki ya kiwanja kutoka serikali za mitaa...
Ukimaliza hivyo , Tafuta Architect na umpeleke site kwa ajili ya kudesign nyumba unayotaka....
Architect akimaliza architectural drawings ,kwa kuwa ni ghorofa nakushauri umtafute structural Engineer kwa ajili ya structural drawings.....
Hiyo michoro yote hakikisha inakuwa stamped na uwe na kopi 2 with one original copy kwa ajili yako......
Architect na Engineer wakisha stamp michoro, unarudi Halmashari kwa ajili ya Building permit....
Mkuu hapo sasa ukishapata building permit...unipm ili nikuandalie BOQ kwa ajili ya kumanage cost za mradi wako......
Naamini umeelewa mkuu! Karibu!
Build with us!
Singapore wanaishi wazungu? Jifikirishe japo kidogo tu! Na hiyo nimetoa ni mifano michache tu,nchi nyingi wanazoishi maisha ya kwenye "Flats" wanatamani kuishi nyumba za chini.Ina mana mzungu akishasema hivo basi nasisi tuwaige? Huko Ni Bara lingine bana, sio kila kitu tuamini wazungu tu
Tupe sababu sasa, mbona unazunguka hutak kutoa jibu?Singapore wanaishi wazungu? Jifikirishe japo kidogo tu! Na hiyo nimetoa ni mifano michache tu,nchi nyingi wanazoishi maisha ya kwenye "Flats" wanatamani kuishi nyumba za chini.
napita tu kumbe Indonesia wanakaa waafrika Asante kwa kutujuza mkuuSingapore wanaishi wazungu? Jifikirishe japo kidogo tu! Na hiyo nimetoa ni mifano michache tu,nchi nyingi wanazoishi maisha ya kwenye "Flats" wanatamani kuishi nyumba za chini.
Sq meter moja kitalaam ni 800000 zidisha Mara sqm zakoYes, juu standard three bed rooms, chini sebule, jiko pamoja na chumba cha wageni...vyumba vyote vinajitegemea... size 180msq to 250msq
+1Akili zako kama zangu,lala juu,hewa safi,mpe mama nanihii haki yake had pakuche bla jasho
Unamaanisha nini Jane Lowasa kusema sio halisia??,,kwa uelewa wangu mdogo naona ni halisi ila tu ni 3D architectural design before implementation.Hizo picha za nyumba siyo halisi kabisa
...na mtu akitaka kuvunja nyumba ya chini na kujenga ka-lodge ka kizushi ka ghorofa 1 napo inabidi apitie this whole process mkuu?Mkuu nafuta kwanza Land surveyor, akapime kiwanja chako then ile michoro & Data aipeleke kwa Townplanners wa Halmashauri husika kuidhinisha ule upimaji then utaanza kufanya taratibu wa kupata hati milliki ya kiwanja kutoka serikali za mitaa...
Ukimaliza hivyo , Tafuta Architect na umpeleke site kwa ajili ya kudesign nyumba unayotaka....
Architect akimaliza architectural drawings ,kwa kuwa ni ghorofa nakushauri umtafute structural Engineer kwa ajili ya structural drawings.....
Hiyo michoro yote hakikisha inakuwa stamped na uwe na kopi 2 with one original copy kwa ajili yako......
Architect na Engineer wakisha stamp michoro, unarudi Halmashari kwa ajili ya Building permit....
Mkuu hapo sasa ukishapata building permit...unipm ili nikuandalie BOQ kwa ajili ya kumanage cost za mradi wako......
Naamini umeelewa mkuu! Karibu!
Build with us!
Hiyo pesa inajenga ghorofa tatu na chenji inabaki.Yes, juu standard three bed rooms, chini sebule, jiko pamoja na chumba cha wageni...vyumba vyote vinajitegemea... size 180msq to 250msq
Kwani nani kasema halisi Jane Lowassa?Hizo picha za nyumba siyo halisi kabisa
Sasa na wewe ukinyanyua kuta si itakuwa unawazibia wengine? Kwanza ghorofa gani linajengwa uswazi ambapo gari unaiacha barabarani?Ukikaa huku kwetu uswazi ndio utajua kwanini huyu bwana anataka kiota cha juu. Huku ni dirisha hapa ukuta, hakuna mzunguko wa hewa. Kiyoyozi kwetu anasa pia hatumudu ghalama ya stima, pia ghorofa yako menyewe zina uhuru kuliko yale ya kupanga watu 10+
Kila mtu anatamani asichokuwa nacho mkuu. Uzuri sisi tuna options ya kujenga ukitakacho, wale wanatamani hawana option. Ndio utofauti upo hapo.Singapore wanaishi wazungu? Jifikirishe japo kidogo tu! Na hiyo nimetoa ni mifano michache tu,nchi nyingi wanazoishi maisha ya kwenye "Flats" wanatamani kuishi nyumba za chini.
Labda ndiyo maana kasema siyo halisi.Akitaka kuona picha ya nyumba ambayo imeshajengwa tayari.Unamaanisha nini Jane Lowasa kusema sio halisia??,,kwa uelewa wangu mdogo naona ni halisi ila tu ni 3D architectural design before implementation.
Kwani mi nimesema kuna mtu kasema?Kwani nani kasema halisi Jane Lowassa?
Una akili sana wewe.Labda ndiyo maana kasema siyo halisi.Akitaka kuona picha ya nyumba ambayo imeshajengwa tayari.
Kwani wapi nimesema kwamba kuna mtu kasema?Kwani mi nimesema kuna mtu kasema?