Tutaambiwa sana miradi mingi itaanza baada ya Uchaguzi. Tafakari & Chukua hatua.
ha ha ha wanahali ngumu tumeshawashtukia
Tutaambiwa sana miradi mingi itaanza baada ya Uchaguzi. Tafakari & Chukua hatua.
We kwani ni injinia?
Tumeona picha mbalimbali na Mbwembwe nyingi kuhusu ujenzi wa FLY OVER ya TAZARA,
Kwa Experience yangu ,kutegemeana na sehemu mbalimbali nilizopita katika Dunia hii. Sina wasiwasi na bajet ya Bil. 100, hii gharama ni Realistic
Lakini wanasema ujenzi utaanza Novemba au soon 2016, Lakini maandalizi siyaoni
Hii ni kwa sabubu hiyo flying over wanayoitaka hapo. Lazima AZAM, aondoke hapo lazima Kipande cha Tazara kiondoke hapo , lazima kipande cha TBC kiondoke hapo.
Sasa Ujenzi utaanzaje November au Jan. Wakati Maandalizi hayaonekani?
Bintiwangara hayo mambo ya kihandisi yanaenda kwa detailed design ambayo inaonyesha wapi patajengwa na eneo la kujengwa na huwa si kuangalia kwa macho tu. Siamini kwamba watu wanaweza kuingia Mkataba bila kuwa na eneo la ujenzi.
Fly over inaweza kujengwa pale TAZARA bila kugusa Bhakresa, TAZARA wal TBC. Nimeona pale kuna eneo kubwa tu na linatosha kujengwa flyover.
Pia kuna siku niliona wanaonesha michoro ya hiyo fly over hivyo ni vyema ukaitafuta na kuiona: siamini kama hiyo michoro ni siri.
Unajua my proffession, mimi ni Engineer na nimesomea na kufanya kazi nje ya nchi
Mbona mambo hayo yamekwisha rekebishwa siku nyingi tu,pitia TAZARA makao makuu uone.Tumeona picha mbalimbali na Mbwembwe nyingi kuhusu ujenzi wa FLY OVER ya TAZARA,
Kwa Experience yangu ,kutegemeana na sehemu mbalimbali nilizopita katika Dunia hii. Sina wasiwasi na bajet ya Bil. 100, hii gharama ni Realistic
Lakini wanasema ujenzi utaanza Novemba au soon 2016, Lakini maandalizi siyaoni
Hii ni kwa sabubu hiyo flying over wanayoitaka hapo. Lazima AZAM, aondoke hapo lazima Kipande cha Tazara kiondoke hapo , lazima kipande cha TBC kiondoke hapo.
Sasa Ujenzi utaanzaje November au Jan. Wakati Maandalizi hayaonekani?
Mkuu tunashindwa kukuelewa,kwani tatizo lako ni lipi hasa? Ma injinia hawahulizi maswali ambayo ni obvious:Wamesema detailed technical drawings/design zipo including artistic impression/bird's eyeview ya flyover au swali lako ni la kisiasa zaidi!!Swali langu ni kwamba Je, huo ujenzi unaanza NOVEMBA kama alivyosema JK na Magufuri? au ni siasa?
Mleta mada hivi hatua za ujenzi ni zipi?
Mradi huo ni kupoteza pesa tu za watanzania, Bora wangetafuta mji mwingine uliopangika vizuri ndo waweke mradi huo.
Heri umemuuliza mkuu
Badala ya yeye kuuliza michoro ikoje anaingiza malumbano katika masuala ya kitaalam.
Mtoa mada asiwe na mchecheto aende tu TANROADS kujipatia elimu ya michoro
Kamwene bee!!Vipi Iringa wazima? Naona angalau umekumbwapo karoho sasa kametuliapo!
Unajua my proffession, mimi ni Engineer na nimesomea na kufanya kazi nje ya nchi
Maswali unayouliza na kujidai kwako kuwa ni mhandisi havilingani kabisa.Swali langu ni kwamba Je, huo ujenzi unaanza NOVEMBA kama alivyosema JK na Magufuri? au ni siasa?
Tumeona picha mbalimbali na Mbwembwe nyingi kuhusu ujenzi wa FLY OVER ya TAZARA,
Kwa Experience yangu ,kutegemeana na sehemu mbalimbali nilizopita katika Dunia hii. Sina wasiwasi na bajet ya Bil. 100, hii gharama ni Realistic
Lakini wanasema ujenzi utaanza Novemba au soon 2016, Lakini maandalizi siyaoni
Hii ni kwa sabubu hiyo flying over wanayoitaka hapo. Lazima AZAM, aondoke hapo lazima Kipande cha Tazara kiondoke hapo , lazima kipande cha TBC kiondoke hapo.
Sasa Ujenzi utaanzaje November au Jan. Wakati Maandalizi hayaonekani?