Ujenzi wa Fly-Over - TAZARA

Ujenzi wa Fly-Over - TAZARA

Bintiwangara

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2013
Posts
551
Reaction score
287
Tumeona picha mbalimbali na Mbwembwe nyingi kuhusu ujenzi wa FLY OVER ya TAZARA,

Kwa Experience yangu, kutegemeana na sehemu mbalimbali nilizopita katika Dunia hii. Sina wasiwasi na bajet ya Bil. 100, hii gharama ni Realistic.

Lakini wanasema ujenzi utaanza Novemba au soon 2016, Lakini maandalizi siyaoni.

Hii ni kwa sabubu hiyo flying over wanayoitaka hapo. Lazima AZAM, aondoke hapo lazima Kipande cha Tazara kiondoke hapo , lazima kipande cha TBC kiondoke hapo.

Sasa Ujenzi utaanzaje November au Jan. Wakati Maandalizi hayaonekani?
 
Hii issue ni ya mwaka 2012... Kuna thread ya ndinda iko hapa kitambo sana.
 
Wanaitumia kama hoja ya kushawishi kupigiwa kura bila kujali kuwa ujenzi wa miundo mbinu sio msaada kwa wananchi bali ni wajibu wa serikali.
 
Kwa sasa ni operation saka kura..hali ingekuwa mbaya mara mbili ya ilivyo sasa wangekuambia june mwakani itakuwa tayari
 
We kwani ni injinia?

Heri umemuuliza mkuu
Badala ya yeye kuuliza michoro ikoje anaingiza malumbano katika masuala ya kitaalam.

Mtoa mada asiwe na mchecheto aende tu TANROADS kujipatia elimu ya michoro
 
Wameshatanganza nafasi za kazi tayari,, kampuni inaitwa mitsui... Ni ya japan wameshatangaza nafasi za kazi upande wa engineering..
 
Mradi huo ni kupoteza pesa tu za watanzania, Bora wangetafuta mji mwingine uliopangika vizuri ndo waweke mradi huo.
 
Bintiwangara hayo mambo ya kihandisi yanaenda kwa detailed design ambayo inaonyesha wapi patajengwa na eneo la kujengwa na huwa si kuangalia kwa macho tu. Siamini kwamba watu wanaweza kuingia Mkataba bila kuwa na eneo la ujenzi.

Fly over inaweza kujengwa pale TAZARA bila kugusa Bhakresa, TAZARA wal TBC. Nimeona pale kuna eneo kubwa tu na linatosha kujengwa flyover.

Pia kuna siku niliona wanaonesha michoro ya hiyo fly over hivyo ni vyema ukaitafuta na kuiona: siamini kama hiyo michoro ni siri.

 
Ccm ilishapoteza dira long tym ago!

Red in peace kolimba
 
HIVI VIPAUMBELE VYA MAGUFULI NI NINI?
mbona kuna vitu vingi sana visivyoeleweka, ambavyo havina mahesabu??

JE NI

  • fly over?
  • Elimu ya bure?
  • kuboresha mishahara ya wafanyakazi wa serikali?
  • mil 50 kila kijiji/mtaa?
  • Afya?
  • viwanda kila mkoa?
  • usafiri wa anga (ATC)?
  • Reli ya kati?
 
We kwani ni injinia?
Experience ya mambo ni muhimu zaidi hata ya kuyasomea na hasa huku kwetu Africa.
Kwa wakazi wa Dar es Salaam, chukua muda ufuatilie taarifa za Bunge (sijui zinaitwa hansardi) kuhusu barabara ya Jangwani (Yanga) - Kigogo - Tabata dampo. Hii imeanza kuongelewa tangu JK aingie madarakani lakini hadi hii leo 2015 haijaisha, hata palipojejwa utadhani ni kwa ajili ya kupita bodaboda na baiskeli!

 
Kama wewe ni engineer ni bora ukakaa kimya,
Wakati tunaanza kuambiwa habari za mradi wa ujenzi wa barabara kwaajili ya speed bus mlituambia haiwezekani na blaablaa kibao lakini sasa mradi upo mwishoni.
Sasa naona mmeshaanza tena!
 
HIVI VIPAUMBELE VYA MAGUFULI NI NINI?
mbona kuna vitu vingi sana visivyoeleweka, ambavyo havina mahesabu??

JE NI

  • fly over?
  • Elimu ya bure?
  • kuboresha mishahara ya wafanyakazi wa serikali?
  • mil 50 kila kijiji/mtaa?
  • Afya?
  • viwanda kila mkoa?
  • usafiri wa anga (ATC)?
  • Reli ya kati?
Kwani Lowassa kipaumbele chake ni elimu peke yake? Kwahiyo watu wa bodaboda, machinga na mama ntilie wanatapeliwa?
 
wajinga ndio waliwao,it is a political stunt....we unataka wasemaje?...but this time ..BIG NO!
 
Tutaambiwa sana miradi mingi itaanza baada ya Uchaguzi. Tafakari & Chukua hatua.
 
Back
Top Bottom