The atlantic
JF-Expert Member
- Aug 1, 2023
- 458
- 783
- Thread starter
- #21
I know.A picture speaks a thousand words
I know.A picture speaks a thousand words
Wasaslam.
Nahitaji kujenga nyumba ya kawaida ambayo itakuwa na concrete roof. Je inafaa na Kama inafaa vipi gharama zake?
Kupaua kutumia concrete slab au mabati ipi ni nafuu. Karibuni wadau
roof yoyote inafaa na kupendeza kulingana na design utakayotengenezewa. cotemporary za bati ,au zege kote ni nzuri unaweza tengeneza ceiling ndefu pasipo kupoteza uhalisia wa jengo ila ni gharama compared to normal roof za juu(depending on aina ya mabati). japokuwa kuna paa za juu zinagharama zaidi mfano ukitumia decra roofing tiles(vigae hzi bei zake za moto) .
Asante mkuu.roof yoyote inafaa na kupendeza kulingana na design utakayotengenezewa. cotemporary za bati ,au zege kote ni nzuri unaweza tengeneza ceiling ndefu pasipo kupoteza uhalisia wa jengo ila ni gharama compared to normal roof za juu(depending on aina ya mabati). japokuwa kuna paa za juu zinagharama zaidi mfano ukitumia decra roofing tiles(vigae hzi bei zake za moto) .
DuhItafuata taratibu za kujenga ghorofa, jengo lazima liwe na nguzo, hapo juu andaa milioni 20, kwa jengo lenye mita za mraba kuanzia 130-180
Unaposema kitu cha moja kwa moja unamaanisha nini mkuu?Of course kutakuwa na msingi pamoja na nguzo but kitakuwa kitu cha moja kwa moja
Wasaslam.
Nahitaji kujenga nyumba ya kawaida ambayo itakuwa na concrete roof. Je inafaa na Kama inafaa vipi gharama zake?
Kupaua kutumia concrete slab au mabati ipi ni nafuu. Kar
Kwa logic ya kawaida kabisa kutumia slab itakuwa gharama zaidi ya kupauwa kwa bati.Wasaslam.
Nahitaji kujenga nyumba ya kawaida ambayo itakuwa na concrete roof. Je inafaa na Kama inafaa vipi gharama zake?
Kupaua kutumia concrete slab au mabati ipi ni nafuu. Karibuni wadau
Ndio hivyo, kitu kizuri ni gharama huku ukihakikisha usalama kwa watumiaji.
Hamna iyo nyingi sana mkuu awezi tumia ela yote iyo ila hapo slab sio chini ya milion 10 maana haibebi mzigo wowote bali inatumika tu kufunika, ingekuwa inabeba mzigo ingefika gharama iyo maana hata nondo utakazotumia hapo sio sawa na utakazotumia unapotaka kujenga ghorofa.tena kama unalaza tofali wala uitaji kujenga hata nguzo.ila gharama zitazidi kuongezeka maana ukimaliza lazima uweke mkeka juu wa kuzuia slab isifyonze majiItafuata taratibu za kujenga ghorofa, jengo lazima liwe na nguzo, hapo juu andaa milioni 20, kwa jengo lenye mita za mraba kuanzia 130-180
Hamna iyo nyingi sana mkuu awezi tumia ela yote iyo ila hapo slab sio chini ya milion 10 maana haibebi mzigo wowote bali inatumika tu kufunika, ingekuwa inabeba mzigo ingefika gharama iyo maana hata nondo utakazotumia hapo sio sawa na utakazotumia unapotaka kujenga ghorofa.tena kama unalaza tofali wala uitaji kujenga hata nguzo.ila gharama zitazidi kuongezeka maana ukimaliza lazima uweke mkeka juu wa kuzuia slab isifyonze maji
Nafikili sasa umenielewa ninachomanisha.maana yake kama ulitakiwa utumie nondo za 16 mm na 12 mm utatumia 12mm na 8 mm na pia mark ya slab utapungua pia kutokana na size ya nondo.kwa iyo kama ulitakiwa kutumia milion 9 kwenye nondo basi utajikuta umetumia milioni 3Nakubaliana na hoja yako, kuezeka tu ilimradi slab inawezekana kwa gharama ndogo, ila kwa kulinda usalama wa mtumiaji inabidi agharamike.
Ukitumia hizi waya badala ya nondo gharama itakuwa chini
View attachment 3452513
Huwezi kujua gharama yake kama huna mchoro wa hiyo slab.Wasaslam.
Nahitaji kujenga nyumba ya kawaida ambayo itakuwa na concrete roof. Je inafaa na Kama inafaa vipi gharama zake?
Kupaua kutumia concrete slab au mabati ipi ni nafuu. Karibuni wadau
Kupaua kwa concrete slab ni gharama lakin ni bora kwa sasa ili miaka mingine mbele uongeze floor juu..Wasaslam.
Nahitaji kujenga nyumba ya kawaida ambayo itakuwa na concrete roof. Je inafaa na Kama inafaa vipi gharama zake?
Kupaua kutumia concrete slab au mabati ipi ni nafuu. Karibuni wadau