Msipende ku quate mauzi marefu kama haya. Mnatuchosha eboMkuu nilikua natafuta huu Uzi siupati.. Nashukuru nimechukua namba yako ntakutafuta
Asante tu ndo quator uzi mzima. mnaboa ati. Kwa nn usimtag na kumshukuru.Asante...
Mzee twasubiri kwa hamu
Mfano huo ujazo wa lita laki moja kwa Tanga fresh ni kwa mwaka au kwa wiki au kwa mwezi?Hujaelewa wapi mkuu