Avriel
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 4,947
- 5,342
Nilihudhuria kozi,Hongera sana chief kwa hatua hiyo. Umefikia hapo kwa kujifunza humu humu au kuna mahali uli attend kupata ujuzi zaidi na zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeendelea kupata ujuzi YouTube, jamiiforums,mitandao mbalimbali na kutembelea viwanda.