Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 9,981
- 16,148
Wajinga ndio waliwaoUtakuta huyo dem anawanaume hata watano, na kila mmoja anaambiwa pale ni kwake na yupo peke yake. Na wakati huo wote watano kila mmoja anatoa pesa ya kodi kila mwezi, na anaacha pesa ya meza kila akija kulala