Ujana wako utumie wapi uje malizana na mie!!

Ujana wako utumie wapi uje malizana na mie!!

he hee,mkuu kitanzi chako hicho usigune,unavaa mwenyewe kama cheni saafi ya gold ngoja ianze kubana shingo.
icon10.gif

Mwana angalia ile post vizuri mi naguna huku natabasamu....Hujaona smiles zile...Mguno wa furaha ule...lol
 
Ila bottom line ndo ileile wajameni,

tukizikamata tu....na miprado hiyo......tunarudi zetu kwenye green pastures

sawa B?
 
Ila bottom line ndo ileile wajameni,

tukizikamata tu....na miprado hiyo......tunarudi zetu kwenye green pastures

sawa B?

vyovyote vile
hata mimi ushauri wangu kwenu ni kwamba muwe mnaangalia kwenye mapenzi ya dahti basi......
sio kulalama tu kila wakati ilhali mmeyataka wenyewe B!!!
 
by the way tukirudi kwenye point huyu dada mi naona kama alikua na king`ast ndani na mdingi kakazana kusumbua nje na mihoni ya prado akaamua kumtolea uvivu mzee.

ona sasa....
yaani nyie ni ngumu saaaaaaaaaaaaaaaaaaaana kukubali ukweli kwamba si kila mwanamke anashoboka na hizo kitu bana
 
vyovyote vile
hata mimi ushauri wangu kwenu ni kwamba muwe mnaangalia kwenye mapenzi ya dahti basi......
sio kulalama tu kila wakati ilhali mmeyataka wenyewe B!!!

asante B kwa ushauri....nimekupata vizuri tu apo.....😀
 
Ila bottom line ndo ileile wajameni,

tukizikamata tu....na miprado hiyo......tunarudi zetu kwenye green pastures

sawa B?
problem ni kwamba tukizikamata hatukumbuki tena kurudi kwa hawa walituvumilia wakati tumechoka,tunaenda kutafuta madem matawi ya juu na ambao wanajua kweli kuzitumia hizo njuluku maana wao hawajui kama we mchovu tu,wanaona hili jinga fulani la mererani basi,hiyo oda yao mwenyewe utakoma
 
problem ni kwamba tukizikamata hatukumbuki tena kurudi kwa hawa walituvumilia wakati tumechoka,tunaenda kutafuta madem matawi ya juu na ambao wanajua kweli kuzitumia hizo njuluku maana wao hawajui kama we mchovu tu,wanaona hili jinga fulani la mererani basi,hiyo oda yao mwenyewe utakoma

kumbe u were clear, basi tuuuu.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom