bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,880
It all depends on what you want and need, For a chick kama unataka true love kuna majamaa kibao; sema usibague kwasababu mfukoni hana fedha, u dont know plans zake so u dont know what you could be missing.
Hiyo Kauli ya tafute hela halafu ndiyo utafute mademu ni Garbage (taka taka tupu) Ukitaka mademu wewe just be confident and develop your game (Utawakimbia mwenyewe!) Ukweli ni kwamba hata mademu wanao nyonya mishiko kwa vizee wanataka gud times na machizi! (lazima utakuta kuna chizi linalompagawisha daily linanunuliwa pamba, misosi, mitungi yet chizi ana-show up na tarimbo tuu)...
Truth b told ni kwamba kuna mademu wengi mno ku generalize kwamba wako hivi au hivyo... Ukitaka kuparuliwa wapo, Ukitaka ma-romance na love wako, Ukitaka mwangaikaji nawo wapo and same goes for Guys....So it depends on what you want.
Personally anybody who has to use money to get love or sex is pathetic and somebody who needs to be given money in exchange for their love or sex is also sad and pathetic... Lakini we are not complaing.... As they say different strokes for different folks!
well said CEJ!!