Uislamu ni project ya wakatoliki

Uislamu ni project ya wakatoliki

Wasabato masalia mna shida sana. kwani mkieneza ppropaganda za dini yenu bila kutaja za wengine hamuendi mbinguni?
 
Kwa karne nyingi, uhusiano kati ya Ukatoliki na Uislamu umekuwa wa mvutano na wakati mwingine wa ushirikiano wa ajabu. Madai ya aliyekuwa padri wa Kanisa Katoliki, Dr. Alberto Rivera, yameibua mjadala mzito kuhusu chanzo halisi cha Uislamu. Rivera alidai kuwa Vatican ilikuwa na mkono wa moja kwa moja katika kuanzisha dini ya Kiislamu, kama mpango wa kisiasa na kiroho wa muda mrefu wa Kanisa wa kupata udhibiti wa Mashariki ya Kati.

Madai ya Alberto Rivera Kuhusu Chanzo cha Uislamu

Katika mahojiano,Padre Rivera alieleza kuwa alipokuwa ndani ya Vatican, alifunuliwa kuhusu mpango wa siri wa kuunda dini mpya ya Kiarabu ili kuwapa Wakatoliki udhibiti wa Yerusalemu, kuwachochea Waarabu dhidi ya Wayahudi, na baadaye kuwaunganisha Waislamu na Wakatoliki kupitia heshima ya Mariamu. Rivera alisema:

“Vatican created Islam in the 7th century to control the Arab world and to create a military power that could seize Jerusalem for the pope.”

Aliongeza kuwa Muhammad alifunzwa na wakristo wa mashariki waliokuwa na mwelekeo wa Roma, na hakuwa na ufahamu wa kina wa Injili bali alipewa mwelekeo wa kuanzisha dini inayompinga Kristo lakini inayohifadhi baadhi ya mafundisho ya Mariamu.

Historia inaonyesha kuwa Waarabu walikuwa na mahusiano na Wakristo kabla ya Uislamu. Mmoja wa watu waliokutana na Muhammad akiwa kijana ni mmonaki aitwaye Buhaira, ambaye alitambua “alama ya kinabii” kwa Muhammad na kumhimiza alindwe. Baadhi ya wachambuzi wa kihistoria wanasema Buhaira alikuwa na mafungamano na taasisi ya Kikristo ya Kirumi, au angalau alikuwa chini ya ushawishi wa Roma kupitia matawi ya Ukristo wa mashariki.

Katika maandiko ya Patrologia Latina, inaelezwa kuwa Kanisa Katoliki lilikuwa na misheni mbalimbali za siri zilizokuwa zikifanya kazi katika maeneo ya Mashariki, ikiwemo Arabia. Mapadri hawa walihubiri Mungu mmoja lakini waliepuka kulazimisha Injili kikamilifu, jambo ambalo linawiana na madai ya Rivera kwamba

“The Vatican only gave the Arabs partial truth and kept the rest hidden to form a controllable religious bloc.”

Kitabu kitakatifu cha Waislamu, Qur’an, kinamtaja Mariamu kwa heshima ya kipekee, na anatajwa zaidi ya wanawake wote, hata kuliko kwenye Biblia. Muhammad anafundisha kuwa Mariamu alizaliwa bila dhambi, jambo ambalo linashabihiana sana na mafundisho ya Kanisa Katoliki kuhusu

“Immaculate Conception”.

“And [mention] when the angels said, ‘O Mary, indeed God has chosen you and purified you and chosen you above the women of the worlds.’” (Qur’an 3:42)

Rivera alitumia hoja hii kama ushahidi wa kuwa Kanisa lilipandikiza ibada ya Mariamu ndani ya Uislamu kama chombo cha baadaye cha kuunganisha dini hizo mbili. Katika moja ya project zake alieleza

“This was the Vatican’s secret weapon: Mary. The Muslims would one day unite with Catholicism under her name.”

Zaidi ya hayo, Fatima mji wa Ureno ambako Bikira Maria aliripotiwa kuwatokea watoto mwaka 1917 umepewa jina sawa na binti wa Muhammad.

Hili linatajwa na wachambuzi wa historia ya dini ya kama hatua ya kimakusudi ya kuunganisha heshima ya Mariamu kati ya Wakatoliki na Waislamu.

Tukio la Fatima linatajwa sana na Wakatoliki, huku pia jina hilo likiwa na nafasi ya kipekee kwa Waislamu, na linazidi kuonesha muktadha wa Mariamu kama daraja la kidini kati ya dini hizo mbili.

Katika kitabu The Prophet cha Catholico Ahmed Zaki Yamani, imeandikwa kuwa maendeleo ya Uislamu katika karne ya 7 yalikuwa ya ajabu na yalikubalika haraka katika maeneo ya ki-Bizanti.

Padre Rivera alidai kuwa hili liliwezekana tu kwa sababu ya mkono wa Kanisa, likitumia Uislamu kama njia ya kudhibiti upanuzi wa Ukristo wa Kiprotestanti na Uyahudi katika Mashariki ya Kati. Anasema...

“The Pope realized he could use Islam as a sword against the Jews and the true Christians.” — Rivera.

Kwa mujibu wa kitabu Vatican Assassins cha Eric Jon Phelps, hata baada ya kuanzishwa kwa Jesuit karne nyingi baadaye, ushahidi wa ushirikiano wa siri kati ya Vatican na Uislamu uliendelea kuwepo kupitia mikutano ya kisiasa, misimamo ya pamoja dhidi ya Israeli, na ushawishi wa Mariamu.


Alexander Hislop, katika kitabu chake maarufu The Two Babylons, anaeleza kuhusu asili ya mafundisho ya kipagani yaliyofichwa ndani ya Ukatoliki,

inadaiwa kuwa wakati Papa alipokamatwa na maadui wa Kanisa, walikuta maneno ya Kiislamu (Shahada) yakiwa yameandikwa kwenye kiti cha enzi chake

“La ilaha illa Allah, Muhammadur Rasulullah”

maandishi haya yalikuwa sehemu ya usiri wa mafungamano ya kidini yaliyolenga kuunganisha dini kubwa za dunia kwa ajili ya lengo la kisiasa la Kanisa.


Heshima ya Mariamu katika Ukatoliki na Uislamu, na Mji wa Fatima

Uislamu unampa Mariamu (Maryam) heshima kubwa, hata kuliko Biblia yenyewe. Yeye ndiye mwanamke pekee aliyatajwa kwa jina ndani ya Qur’an, na sura nzima (Surah Maryam) imetengwa kwa ajili yake. Qur’an inaeleza:

“Na kumbuka waliposema Malaika: Ewe Mariamu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteua na amekutakasa, na amekuteua juu ya wanawake wote wa ulimwengu.” (Qur’an 3:42)

Hii inafanana na mafundisho ya Kanisa Katoliki kuhusu Immaculate Conception, kwamba Mariamu alizaliwa bila dhambi ya asili na alibeba Yesu kwa usafi kamili wa kiroho.

Mjini Fatima, Ureno, ndiko ilikodaiwa kuwa Bikira Maria alimtokea msichana mmoja mwaka 1917. Tukio hili lilipewa umuhimu mkubwa sana na Vatican. Kinachovutia zaidi ni kwamba jina "Fatima" ni jina la binti wa Mtume Muhammad. Wachambuzi wa kiroho na historia wanaamini kuwa kuchaguliwa kwa mji huo na matokeo yake yalikuwa na lengo la kufanikisha uhusiano wa kihisia kati ya Waislamu na Wakatoliki kupitia Mariamu/Fatima, ikimaanisha kwamba ibada ya Mariamu inaweza kuwa daraja kati ya dini hizo mbili.


Katika karne ya 20 na 21, kumekuwa na matukio kadhaa ya kihistoria ambapo Mapapa wamekutana na viongozi wa Kiislamu, wakashiriki ibada pamoja na hata kuweka mikakati ya ushirikiano wa kidini.

Mwaka 2019, Papa Francis alizuru UAE na kusaini "Document on Human Fraternity" pamoja na Sheikh wa Al-Azhar. Huu ulikuwa mkutano wa kihistoria unaoonyesha jinsi viongozi wa Kidini kutoka Ukatoliki na Uislamu wanavyojenga daraja la ushirikiano, wakiweka mbele maadili ya amani, umoja, na haki za binadamu. Huu ni mfano wa juhudi za kukuza uelewa na mashauriano kati ya dini hizo mbili kubwa, ingawa bado kuna maswali na shaka kuhusu umoja wa kweli wa kidini.
Uislamu ungekuwa umeundwa na Kanisa Katoliki ingekua dini nzuri isiyo na ukatili. Hiyo dini ilianza kwa ufunuo wa ibilisi shetani. Na lengo ni kuzuia Injili ya Yesu Kristo kuenea duniani. Lakini Injili lazima ienee duniani kote kabla Yesu Kristo kurudi.
 
Uislamu ungekuwa umeundwa na Kanisa Katoliki ingekua dini nzuri isiyo na ukatili. Hiyo dini ilianza kwa ufunuo wa ibilisi shetani. Na lengo ni kuzuia Injili ya Yesu Kristo kuenea duniani. Lakini Injili lazima ienee duniani kote kabla Yesu Kristo kurudi.
Bado hujajua mengi, endelea kusoma zaidi utaelewa dini ni project za watu
 
Mtu hazaliwi na dini acha utoto.
Mtoto anapozaliwa anakuwa empty hana dini, kabila wala utaifa. Baada ya kuzaliwa anarithi vitu vyote kutoka kwa walezi wake.

Dini dhaifu ya kiislam ndo inafundisha eti mtu anazaliwa akiwa muislam. Hili ni fundisho la kijinga mzee.
Huku tunatumia “Mkuu” sio mzee
 
Nikama vile unatuambia kuwa Uislamu umeanzishwa na katoliki ili upingane na Uyahudi,Ajabu ni kwamba Aya nyingi zinapinga ukristo na kuwaita wakristo ni watu walio “potea”
Muhammad ni mtume wa mwisho ameletwa kukamilisha Uislamu na ndio dini sahihi,Uislamu ni mafundisho ya kumpwekesha Allah (sw) na kamwe Allah hajazaa wala hajazaliwa kama mnavyo amini nyie makafiri
 
Sasa hapo ndo panaonyesha mi nimezaliwa muislam?😃

Kuwa serious mzee, mi sijawahi kuwa muislam kamwe, siwezi kabisa kuwa kwenye dini dhaifu ya mudi.

Huwezi kuwa na akili ukawa muislam.

Hebu niambie hapa, kwa nini we ni muislam.
Kwa nini ulibatizwa?
 
Nikama vile unatuambia kuwa Uislamu umeanzishwa na katoliki ili upingane na Uyahudi,Ajabu ni kwamba Aya nyingi zinapinga ukristo na kuwaita wakristo ni watu walio “potea”
Muhammad ni mtume wa mwisho ameletwa kukamilisha Uislamu na ndio dini sahihi,Uislamu ni mafundisho ya kumpwekesha Allah (sw) na kamwe Allah hajazaa wala hajazaliwa kama mnavyo amini nyie makafiri
KAMA ALLAH SIO MUNGU WA KIPAGANI, KWANINI BABA YAKE MUHAMMAD AMBAYE ALIKUWA MPAGANI ALIITWA ABDULLAH?

(Sahih Muslim, Book 001, Number 0398).

Imeripotiwa na Anas: Hakika, mtu mmoja alisema: Mjumbe wa Allah, baba yangu yuko wapi? Akasema: Yuko motoni. Alipogeka kuondoka, (Mtume mtakatifu) akamwita na kusema: Hakika baba yangu na baba yako wako Motoni.

Na swali ambalo tungependa wajiulize ni kuwa, kwa nini baba yake Muhammad, ambaye alikuwa mpagani aliitwa ‘Abdullah’?

Na kwa kuwa ‘Abdullah’ maana yake ni ‘mtumwa wa Allah’, hii ni ishara ya wazi kwamba wapagani wa kipindi cha jahiliyah walikuwa wakimwabudu Allah hadi kufikia kuwapa watoto wao majina kwa heshima ya Allah – kama ambavyo Wayahudi nao walikuwa wakiwapa watoto wao majina kwa heshima ya Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo.

Kwa mfano:
Yoshua – Yahwe ni wokovu;
Yothamu – Yahwe ni mkamilifu;
Yehoahazi – Yahwe ameshikilia;
Hezekia – Yahwe ametia nguvu;
Elisha – Mungu ni wokovu, n.k.

Jibu liko wazi. Allah alikuwa ni mungu wa kipagani aliyeabudiwa kabla ya Uislamu kuja. Na mungu huyu alikuwa ni ‘mungu mwezi’, yaani ‘al-ilah’. Jina lake jingine aliitwa ‘hubal.’ Mungu huyu wa kipagani aliabudiwa kote.
 
Kwa karne nyingi, uhusiano kati ya Ukatoliki na Uislamu umekuwa wa mvutano na wakati mwingine wa ushirikiano wa ajabu. Madai ya aliyekuwa padri wa Kanisa Katoliki, Dr. Alberto Rivera, yameibua mjadala mzito kuhusu chanzo halisi cha Uislamu. Rivera alidai kuwa Vatican ilikuwa na mkono wa moja kwa moja katika kuanzisha dini ya Kiislamu, kama mpango wa kisiasa na kiroho wa muda mrefu wa Kanisa wa kupata udhibiti wa Mashariki ya Kati.

Madai ya Alberto Rivera Kuhusu Chanzo cha Uislamu

Katika mahojiano,Padre Rivera alieleza kuwa alipokuwa ndani ya Vatican, alifunuliwa kuhusu mpango wa siri wa kuunda dini mpya ya Kiarabu ili kuwapa Wakatoliki udhibiti wa Yerusalemu, kuwachochea Waarabu dhidi ya Wayahudi, na baadaye kuwaunganisha Waislamu na Wakatoliki kupitia heshima ya Mariamu. Rivera alisema:

“Vatican created Islam in the 7th century to control the Arab world and to create a military power that could seize Jerusalem for the pope.”

Aliongeza kuwa Muhammad alifunzwa na wakristo wa mashariki waliokuwa na mwelekeo wa Roma, na hakuwa na ufahamu wa kina wa Injili bali alipewa mwelekeo wa kuanzisha dini inayompinga Kristo lakini inayohifadhi baadhi ya mafundisho ya Mariamu.

Historia inaonyesha kuwa Waarabu walikuwa na mahusiano na Wakristo kabla ya Uislamu. Mmoja wa watu waliokutana na Muhammad akiwa kijana ni mmonaki aitwaye Buhaira, ambaye alitambua “alama ya kinabii” kwa Muhammad na kumhimiza alindwe. Baadhi ya wachambuzi wa kihistoria wanasema Buhaira alikuwa na mafungamano na taasisi ya Kikristo ya Kirumi, au angalau alikuwa chini ya ushawishi wa Roma kupitia matawi ya Ukristo wa mashariki.

Katika maandiko ya Patrologia Latina, inaelezwa kuwa Kanisa Katoliki lilikuwa na misheni mbalimbali za siri zilizokuwa zikifanya kazi katika maeneo ya Mashariki, ikiwemo Arabia. Mapadri hawa walihubiri Mungu mmoja lakini waliepuka kulazimisha Injili kikamilifu, jambo ambalo linawiana na madai ya Rivera kwamba

“The Vatican only gave the Arabs partial truth and kept the rest hidden to form a controllable religious bloc.”

Kitabu kitakatifu cha Waislamu, Qur’an, kinamtaja Mariamu kwa heshima ya kipekee, na anatajwa zaidi ya wanawake wote, hata kuliko kwenye Biblia. Muhammad anafundisha kuwa Mariamu alizaliwa bila dhambi, jambo ambalo linashabihiana sana na mafundisho ya Kanisa Katoliki kuhusu

“Immaculate Conception”.

“And [mention] when the angels said, ‘O Mary, indeed God has chosen you and purified you and chosen you above the women of the worlds.’” (Qur’an 3:42)

Rivera alitumia hoja hii kama ushahidi wa kuwa Kanisa lilipandikiza ibada ya Mariamu ndani ya Uislamu kama chombo cha baadaye cha kuunganisha dini hizo mbili. Katika moja ya project zake alieleza

“This was the Vatican’s secret weapon: Mary. The Muslims would one day unite with Catholicism under her name.”

Zaidi ya hayo, Fatima mji wa Ureno ambako Bikira Maria aliripotiwa kuwatokea watoto mwaka 1917 umepewa jina sawa na binti wa Muhammad.

Hili linatajwa na wachambuzi wa historia ya dini ya kama hatua ya kimakusudi ya kuunganisha heshima ya Mariamu kati ya Wakatoliki na Waislamu.

Tukio la Fatima linatajwa sana na Wakatoliki, huku pia jina hilo likiwa na nafasi ya kipekee kwa Waislamu, na linazidi kuonesha muktadha wa Mariamu kama daraja la kidini kati ya dini hizo mbili.

Katika kitabu The Prophet cha Catholico Ahmed Zaki Yamani, imeandikwa kuwa maendeleo ya Uislamu katika karne ya 7 yalikuwa ya ajabu na yalikubalika haraka katika maeneo ya ki-Bizanti.

Padre Rivera alidai kuwa hili liliwezekana tu kwa sababu ya mkono wa Kanisa, likitumia Uislamu kama njia ya kudhibiti upanuzi wa Ukristo wa Kiprotestanti na Uyahudi katika Mashariki ya Kati. Anasema...

“The Pope realized he could use Islam as a sword against the Jews and the true Christians.” — Rivera.

Kwa mujibu wa kitabu Vatican Assassins cha Eric Jon Phelps, hata baada ya kuanzishwa kwa Jesuit karne nyingi baadaye, ushahidi wa ushirikiano wa siri kati ya Vatican na Uislamu uliendelea kuwepo kupitia mikutano ya kisiasa, misimamo ya pamoja dhidi ya Israeli, na ushawishi wa Mariamu.


Alexander Hislop, katika kitabu chake maarufu The Two Babylons, anaeleza kuhusu asili ya mafundisho ya kipagani yaliyofichwa ndani ya Ukatoliki,

inadaiwa kuwa wakati Papa alipokamatwa na maadui wa Kanisa, walikuta maneno ya Kiislamu (Shahada) yakiwa yameandikwa kwenye kiti cha enzi chake

“La ilaha illa Allah, Muhammadur Rasulullah”

maandishi haya yalikuwa sehemu ya usiri wa mafungamano ya kidini yaliyolenga kuunganisha dini kubwa za dunia kwa ajili ya lengo la kisiasa la Kanisa.


Heshima ya Mariamu katika Ukatoliki na Uislamu, na Mji wa Fatima

Uislamu unampa Mariamu (Maryam) heshima kubwa, hata kuliko Biblia yenyewe. Yeye ndiye mwanamke pekee aliyatajwa kwa jina ndani ya Qur’an, na sura nzima (Surah Maryam) imetengwa kwa ajili yake. Qur’an inaeleza:

“Na kumbuka waliposema Malaika: Ewe Mariamu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteua na amekutakasa, na amekuteua juu ya wanawake wote wa ulimwengu.” (Qur’an 3:42)

Hii inafanana na mafundisho ya Kanisa Katoliki kuhusu Immaculate Conception, kwamba Mariamu alizaliwa bila dhambi ya asili na alibeba Yesu kwa usafi kamili wa kiroho.

Mjini Fatima, Ureno, ndiko ilikodaiwa kuwa Bikira Maria alimtokea msichana mmoja mwaka 1917. Tukio hili lilipewa umuhimu mkubwa sana na Vatican. Kinachovutia zaidi ni kwamba jina "Fatima" ni jina la binti wa Mtume Muhammad. Wachambuzi wa kiroho na historia wanaamini kuwa kuchaguliwa kwa mji huo na matokeo yake yalikuwa na lengo la kufanikisha uhusiano wa kihisia kati ya Waislamu na Wakatoliki kupitia Mariamu/Fatima, ikimaanisha kwamba ibada ya Mariamu inaweza kuwa daraja kati ya dini hizo mbili.


Katika karne ya 20 na 21, kumekuwa na matukio kadhaa ya kihistoria ambapo Mapapa wamekutana na viongozi wa Kiislamu, wakashiriki ibada pamoja na hata kuweka mikakati ya ushirikiano wa kidini.

Mwaka 2019, Papa Francis alizuru UAE na kusaini "Document on Human Fraternity" pamoja na Sheikh wa Al-Azhar. Huu ulikuwa mkutano wa kihistoria unaoonyesha jinsi viongozi wa Kidini kutoka Ukatoliki na Uislamu wanavyojenga daraja la ushirikiano, wakiweka mbele maadili ya amani, umoja, na haki za binadamu. Huu ni mfano wa juhudi za kukuza uelewa na mashauriano kati ya dini hizo mbili kubwa, ingawa bado kuna maswali na shaka kuhusu umoja wa kweli wa kidini.
Makala nzuri,ukipata muda muda pia elezea vita vya mamluki,pamoja na crusades
 
Chrislam in the making!

Mleta mada yupo sahihi sana!Mtume Muhammad kaibuka ibuka TU katika historian eti aliipokea qurani kwenye mapango huko!!na akaanza kutamka iqrah bismirabica laadhiih ghalaka !!
 
Chrislam in the making!

Mleta mada yupo sahihi sana!Mtume Muhammad kaibuka ibuka TU katika historian eti aliipokea qurani kwenye mapango huko!!na akaanza kutamka iqrah bismirabica laadhiih ghalaka !!
ndo iwe mwaka 1924?? mkuu?
 
Back
Top Bottom