Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,411
- 11,061
Hello JF,
Hivi asili ya watu wanaomriwa kuuwa au kunyongwa baada ya kukutwa na makosa ya yanauoadhibiwa na nguzo za kidini je, wapo wa Royal family au ndio wale makabwela wale wenye African origin? Mwenye history ya hukumu hizo aweke bayana kama hizo Adhabu hazikuwa kwa wenye asili ya Africa pekee yao.
Naona Kama dini ya haki kwenye Sharia inajidhalilisha au mnaonaje?
Hivi Kuna dini ya haki na kweli itapendelea Adhabu ya kifo?
Je uislamu hausiki na amri kumi za Mungu?
Povu ruksa
Wabillahi tawfiq
Wadiz.
Hivi asili ya watu wanaomriwa kuuwa au kunyongwa baada ya kukutwa na makosa ya yanauoadhibiwa na nguzo za kidini je, wapo wa Royal family au ndio wale makabwela wale wenye African origin? Mwenye history ya hukumu hizo aweke bayana kama hizo Adhabu hazikuwa kwa wenye asili ya Africa pekee yao.
Naona Kama dini ya haki kwenye Sharia inajidhalilisha au mnaonaje?
Hivi Kuna dini ya haki na kweli itapendelea Adhabu ya kifo?
Je uislamu hausiki na amri kumi za Mungu?
Povu ruksa
Wabillahi tawfiq
Wadiz.