Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,176
- 48,460
Kwa muda mrefu sana haikumbukiki ilianza lini, ilizoeleka kuwa aina fulani ya nguo au uvaaji kuwa ndiyo alama ya Uislamu.
Kuvaa matarabushi, misuli, barghashia, kanzu, sandali, baibui na Abaya ilihesabiwa kama ndiyo alama za uislamu.
Lakini siku za hivi karibuni wameibuka wahadhiri mbali mbali wanasema kuwa hakuna "sare" ya Uislamu iliyoamrishwa kwenye Quran bali watu wanachanganya kati ya Mila za uvaaji za kiarabu na uislamu.
Hebu msikilize huyu mhadhiri wa kiislamu hapo chini.
Kuvaa matarabushi, misuli, barghashia, kanzu, sandali, baibui na Abaya ilihesabiwa kama ndiyo alama za uislamu.
Lakini siku za hivi karibuni wameibuka wahadhiri mbali mbali wanasema kuwa hakuna "sare" ya Uislamu iliyoamrishwa kwenye Quran bali watu wanachanganya kati ya Mila za uvaaji za kiarabu na uislamu.
Hebu msikilize huyu mhadhiri wa kiislamu hapo chini.