Uislaam ni mzuri sana ila wengi wetu hatujui

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Dec 26, 2015
2,537
4,517
UISLAAM NI MZURI KATIKA KILA NYANJA...HAKUNA MAHALI NI MBAYA...LABDA KWA MFANYA DHULMA...

Umeweka utaratibu katika kila jambo...

mfano:-
NDOA KATIKA UISLAAM...HAIWI NDIO KIGEZO CHA USHIRIKA KATIKA MALI...yaani ETI KWAKUWA NIMEKUOA TU...BASI MALI ZANGU ZINAKUWA ZAKO...AU MALI ZA MKE ZINAKUWA ZANGU...ETI KWA SABABU YA NDOA...(exception inakuwa kwenye mali ambayo kila mtu baina ya wawili nyie mna jitihada mmeingiza mno)...

Kuna wakati wanandoa wanaogopa kuachana kwa sababu ya kuhofia kugawana mali...hata kama mwanaume alizichuma mali hizo pekee yake au kabla ya kumuoa...

Lakini sheria dhalim zilizotungwa na wendazimu...eti mradi tu mmeoana eti mkiachana mali pasupasu hata kama mwanamke hakutia mkono kwenye mali hiyo...TOFAUTI NA ILE MALI ILIYOTAFUTWA NA MWANAMKE...MWANAUME HAWEZI GAWANA NAE...

ILA UISLAAM UNAJALI HAKI SAHIHI NA MASLAHI YA WATU WOTE...

KAMA MKE ANASTAHILI HURUMA KWAKUWA NI MWANAMKE...BALI MAMA ANASTAHILI HURUMA ZAIDI...

LAKINI SHERIA YA WENDAZIMU HAIANGALII HILO...ETI MFANO MUME AMEKUFA...MKE ANAPEWA MALI NUSU NZIMA...ALAFU WAZAZI NDUGU WA MUME WOTE WANACHUKUA NUSU ILIYOBAKI...

KWELI HIZI SHERIA NI ZA KIPUUZI WALA HAZIJALI HAKI YA PANDE ZOTE...

UISLAAM KILA KITU KATIKA MAISHA KIMEWEKEWA UTARATIBU HATA KAMA NI CHA SIRI...
 
UISLAAM NI MZURI KATIKA KILA NYANJA...HAKUNA MAHALI NI MBAYA...LABDA KWA MFANYA DHULMA...

Umeweka utaratibu katika kila jambo...

mfano:-
NDOA KATIKA UISLAAM...HAIWI NDIO KIGEZO CHA USHIRIKA KATIKA MALI...yaani ETI KWAKUWA NIMEKUOA TU...BASI MALI ZANGU ZINAKUWA ZAKO...AU MALI ZA MKE ZINAKUWA ZANGU...ETI KWA SABABU YA NDOA...(exception inakuwa kwenye mali ambayo kila mtu baina ya wawili nyie mna jitihada mmeingiza mno)...

Kuna wakati wanandoa wanaogopa kuachana kwa sababu ya kuhofia kugawana mali...hata kama mwanaume alizichuma mali hizo pekee yake au kabla ya kumuoa...

Lakini sheria dhalim zilizotungwa na wendazimu...eti mradi tu mmeoana eti mkiachana mali pasupasu hata kama mwanamke hakutia mkono kwenye mali hiyo...TOFAUTI NA ILE MALI ILIYOTAFUTWA NA MWANAMKE...MWANAUME HAWEZI GAWANA NAE...

ILA UISLAAM UNAJALI HAKI SAHIHI NA MASLAHI YA WATU WOTE...

KAMA MKE ANASTAHILI HURUMA KWAKUWA NI MWANAMKE...BALI MAMA ANASTAHILI HURUMA ZAIDI...

LAKINI SHERIA YA WENDAZIMU HAIANGALII HILO...ETI MFANO MUME AMEKUFA...MKE ANAPEWA MALI NUSU NZIMA...ALAFU WAZAZI NDUGU WA MUME WOTE WANACHUKUA NUSU ILIYOBAKI...

KWELI HIZI SHERIA NI ZA KIPUUZI WALA HAZIJALI HAKI YA PANDE ZOTE...

UISLAAM KILA KITU KATIKA MAISHA KIMEWEKEWA UTARATIBU HATA KAMA NI CHA SIRI...

Naam, swadakta
 
NDOA KATIKA UISLAAM...HAULETI UHUSIANO WA KIMALI...NDOA NI NDOA NA MALI NI MALI...
Ndoa ni nini? Unatenganishaje ndoa na Mali? Dhuluma peke yake ndio inaweza kutenganisha Ndoa na Mali.
Dhana ya kuwa mwili mmoja na pana na ni halisi, ndio maana katika ndoa ni 1+1=1
 
Ndoa ni nini? Unatenganishaje ndoa na Mali? Dhuluma peke yake ndio inaweza kutenganisha Ndoa na Mali.
Dhana ya kuwa mwili mmoja na pana na ni halisi, ndio maana katika ndoa ni 1+1=1
Mwili mmoja na mali ni moja ni vitu viwili tofauti...

Wewe mwenywe ni mhanga wa ikitokea mkitengana na mkeo mgawane mali nusu nusu...haijalishi ulitafuta mwenyewe au uliipata kabla au baada...uislaam hayo mambo hautaki dhulma..
 
Tafuta ubaya wake kama upo...na ulete vile vile tulinganishe na ubaya wa dini yako...
Mkuu unajihami sana sina maana hiyo uliyotafsiri. Namaanisha kabla sijafungua huu uzi nilitarajia umeeleza mambo mengi ila matokeo yake umeelezea moja tu, naamini yapo na mengine mengi mazuri ila kwa kuwa hata wewe huufahamu uislamu umeishia kuliona hilo moja tu
 
Mkuu unajihami sana sina maana hiyo uliyotafsiri. Namaanisha kabla sijafungua huu uzi nilitarajia umeeleza mambo mengi ila matokeo yake umeelezea moja tu, naamini yapo na mengine mengi mazuri ila kwa kuwa hata wewe huufahamu uislamu umeishia kuliona hilo moja tu
MIMI NI MVIVU SANA KUANDIKA MAMBO MENGI PASIPO ULAZIMA...SEMA LABDA UNGEPENDA UZURI WA UISLAAM KWENYE NYANJA GANI nikueleze...?

MAANA MIMI NIMECHAGUA MOJA LEO KUELEZA...LAKINI NYANJA ZOTE UISLAAM UMEKAMILIKA...
 
Dini yenu katika ndoa ni nzuri, lakin angalieni upya suala la ndoa, naona waislamu wengi wanaoa kwa tamaa za ngono na si vinginevyo Kwan mnasababisha ongezeko kubwa la single mothers kila kukicha, kila siku mnaoa na kutaliki.
 
Ndoa ni nini? Unatenganishaje ndoa na Mali? Dhuluma peke yake ndio inaweza kutenganisha Ndoa na Mali.
Dhana ya kuwa mwili mmoja na pana na ni halisi, ndio maana katika ndoa ni 1+1=1
Katika uislam hakuna iyo dhana ya kuwa mwili mmoja, sasa kwa akili ukiwa mwilo mmoja si utakuwa unajimbato mwenyewe!
 
Mwili mmoja na mali ni moja ni vitu viwili tofauti...

Wewe mwenywe ni mhanga wa ikitokea mkitengana na mkeo mgawane mali nusu nusu...haijalishi ulitafuta mwenyewe au uliipata kabla au baada...uislaam hayo mambo hautaki dhulma..
Katika uislam hakuna dhana ya mwili mmoja
 
Back
Top Bottom