Hivi wapenzi, mtu unakua na mpenzi wa toka enzi hizo mko vijana anaondoka anaenda kusoma anarudi mnaanza tena mahusiano anakwambia anataka mzae unamwambia subiri kidogo nimalizie mambo Fulani, anasema poa hazipiti siku unamkuta na demu anakwambia huyu tulikutana tu sio mtu wangu kivile unavumilia, zinapita siku unaambiwa yule dada ni mjamzito unaumia lakini unachukulia poa si unampenda mkaka? Dada anajifungua mtoto wa kiume ndugu zake waliokua karibu na wewe wote wanahamia kwa yule dada wewe unabaki kungangaa macho maisha yanaendelea, huyo mkaka akikufuata siku moja moja anakubembembeleza oh yule alijibebesha mimba na mimi siwezi kuacha mtoto wangu ateseke unakubali akishapata anachotaka humsikii mpaka akiwa na hamu na wewe.
Inapita kipindi huyo mzazi mwenzie anaanza kuonyesha her true colour watu wote wanachoka na kutoamini ni huyu kweli si ndugu si baba mtoto Mwenyewe, wanaendelea kuvumilia wakijua kapitiwa kumbe sivyo hivyo ndivyo alivyo siku zote alikua ana pretend tu ndugu wanaanza oh kaka bora yule Fulani huyu balaa kabisa, huku wewe tayari ulishaanza kumtoa akilini kidogo kidogo si mnajua wapendwa kumtoa akilini uliempenda kwa dhati ni ishu ndio anakuja mazima nisamehe mpenzi, sweet, honey, darling, sweet ukwaju, supaleta, fanta orange na mengine kibao nilipotea nikaingia pabaya lakini kuanzia leo nimekoma nitakua na wewe tu mpenzi anaongea na machozi yanamlenga akijutia yote aliyokufanyia ikumbukwe kuwa wewe umeshaanza kumtoa moyoni mwako. Swali linakuja kwenu great thinkers Je huyu mtu anafaa kupewa nafasi nyingine atakua amejirekebisha kweli au akipewa anaweza rudia yale yale nafikiri kati wote msomao hapa kuna mtu ashakumbwa na hii hali alifanyaje fanyaje?
Poleni kwa maandishi mengi kama ukiweza yasoma yote itakua vizuri tunaomba maoni yako mpendwa
Hivi wapenzi, mtu unakua na mpenzi wa toka enzi hizo mko vijana anaondoka anaenda kusoma anarudi mnaanza tena mahusiano anakwambia anataka mzae unamwambia subiri kidogo nimalizie mambo Fulani, anasema poa hazipiti siku unamkuta na demu anakwambia huyu tulikutana tu sio mtu wangu kivile unavumilia, zinapita siku unaambiwa yule dada ni mjamzito unaumia lakini unachukulia poa si unampenda mkaka? Dada anajifungua mtoto wa kiume ndugu zake waliokua karibu na wewe wote wanahamia kwa yule dada wewe unabaki kungangaa macho maisha yanaendelea, huyo mkaka akikufuata siku moja moja anakubembembeleza oh yule alijibebesha mimba na mimi siwezi kuacha mtoto wangu ateseke unakubali akishapata anachotaka humsikii mpaka akiwa na hamu na wewe.
Inapita kipindi huyo mzazi mwenzie anaanza kuonyesha her true colour watu wote wanachoka na kutoamini ni huyu kweli si ndugu si baba mtoto Mwenyewe, wanaendelea kuvumilia wakijua kapitiwa kumbe sivyo hivyo ndivyo alivyo siku zote alikua ana pretend tu ndugu wanaanza oh kaka bora yule Fulani huyu balaa kabisa, huku wewe tayari ulishaanza kumtoa akilini kidogo kidogo si mnajua wapendwa kumtoa akilini uliempenda kwa dhati ni ishu ndio anakuja mazima nisamehe mpenzi, sweet, honey, darling, sweet ukwaju, supaleta, fanta orange na mengine kibao nilipotea nikaingia pabaya lakini kuanzia leo nimekoma nitakua na wewe tu mpenzi anaongea na machozi yanamlenga akijutia yote aliyokufanyia ikumbukwe kuwa wewe umeshaanza kumtoa moyoni mwako. Swali linakuja kwenu great thinkers Je huyu mtu anafaa kupewa nafasi nyingine atakua amejirekebisha kweli au akipewa anaweza rudia yale yale nafikiri kati wote msomao hapa kuna mtu ashakumbwa na hii hali alifanyaje fanyaje?
Poleni kwa maandishi mengi kama ukiweza yasoma yote itakua vizuri tunaomba maoni yako mpendwa
Aisee mi bado sioni mantiki ya hii thredi kuweko huku cheat chat...
Dena acha uvivu my dia!! umeamkaje lakini??
Maty, kumrudia nisawa na kuoga then ukabadili nguo zote ila ukavaa chu** ile ile uliyoshindia kutwa nzima!! kwangu mie angeeishia kuoga tu ila mjini asingeingia!!
habari ndio hiyo
Wapenda nashukuru kwa ushauri jana nilishindwa kabisa kuingia jf kama mnavyojua umeme wa mgao, dah hii nnji hii