luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Baada ya utata kuibuka last week kuhusu utaratibu wa kuwapa ajira wauguzi wa afya toka Kenya ,
wiki hili limetokea tukio ambalo pengine lita ibua maswali kwa serikali ya Uingerezaa kuhusu ubora na uweledi wa manesi toka kenya
Ina daiwa kijana mmoja Mkenya anaidai fidia hospitali fulan baada ya kufanyiwa upasuaji na kushonwa kama furushi na anaedaiwa kuwa alikuwa ni mupenzi wake ambae ni mtaalam wanafya katika hospitali hiyo
Kwa kitendo hiki ambacho sio cha kiuweledi ni dhahiri Uingereza itatilia mashaka ubora wa wataalam.hao wa afya kutoka Kenya
wiki hili limetokea tukio ambalo pengine lita ibua maswali kwa serikali ya Uingerezaa kuhusu ubora na uweledi wa manesi toka kenya
Ina daiwa kijana mmoja Mkenya anaidai fidia hospitali fulan baada ya kufanyiwa upasuaji na kushonwa kama furushi na anaedaiwa kuwa alikuwa ni mupenzi wake ambae ni mtaalam wanafya katika hospitali hiyo
Aishitaki hospitali na kudai fidia ya Ksh 6.4 baada ya nesi ambaye ni "Ex wake" kumshona kihuni
Kijana Evans Mutugi ameishitaki Hospitali ya Maura nchini Kenya kwa kitendo cha yeye kufanyia ushonaji usio kuwa wa kibinadamu na nesi ambae anadaiwa kuwa aliwahi kuwa mchumba wake (ex-girlfriend). Tukio hilo la kustaajabisha lilitokea Jumatatu iliyopita, Novemba 8, 2021 baada ya Mutugi...
www.jamiiforums.com
Kwa kitendo hiki ambacho sio cha kiuweledi ni dhahiri Uingereza itatilia mashaka ubora wa wataalam.hao wa afya kutoka Kenya