iamriq_arthur
JF-Expert Member
- May 1, 2021
- 377
- 884
Habari wana JF !
Nina pendekezo kuhusu watoa huduma za mahospital na sehemu zote za huduma ya afya, kuwe na utaratibu wa kupimwa afya zao ili wagongwa wanapokuwa mahospital wawe na amani na huduma wapatazo kwenye vituo hivyo.
Kuna baadhi ya hospital asilimia kuwa ya wauguzi wa hospital hizo wameugua (wagonjwa wa ukimwi) na inafahamika kabisa, lakini kutwa kuwachoma sindano tu wagonjwa.
Wengine wapo sekta ya kuwazalisha kuna mama, sasa dokta mgonjwa wa ukimwi anakuwa kitengo cha kuwazalisha kina mama na kuwachoma masindano au kuwasafisha vidonga na ameugua, akiwa na roho mbaya ataweza kuwa anawaambukiza wagongwa wengine waliokuja hospital kwaajiri ya kutibiwa ugonjwa tofauti, wakitoka hospital wanatoka na ugonjwa ambao hawakua nao.
Dokta mwenye Uukimwi anajitolea damu anachangaya kwenye dawa nyingne na anamchoma nayo mgonjwa aliekuja kutibiwa kwa ugonjwa mwingne.
Naomba vituo vyote vya afya waiguzi wawe wanapimwa afya zako kila baada ya miezi mitatu, watakaogundulika wameathirika ukimwi wawe wanafukuzwa kazi.
Nina pendekezo kuhusu watoa huduma za mahospital na sehemu zote za huduma ya afya, kuwe na utaratibu wa kupimwa afya zao ili wagongwa wanapokuwa mahospital wawe na amani na huduma wapatazo kwenye vituo hivyo.
Kuna baadhi ya hospital asilimia kuwa ya wauguzi wa hospital hizo wameugua (wagonjwa wa ukimwi) na inafahamika kabisa, lakini kutwa kuwachoma sindano tu wagonjwa.
Wengine wapo sekta ya kuwazalisha kuna mama, sasa dokta mgonjwa wa ukimwi anakuwa kitengo cha kuwazalisha kina mama na kuwachoma masindano au kuwasafisha vidonga na ameugua, akiwa na roho mbaya ataweza kuwa anawaambukiza wagongwa wengine waliokuja hospital kwaajiri ya kutibiwa ugonjwa tofauti, wakitoka hospital wanatoka na ugonjwa ambao hawakua nao.
Dokta mwenye Uukimwi anajitolea damu anachangaya kwenye dawa nyingne na anamchoma nayo mgonjwa aliekuja kutibiwa kwa ugonjwa mwingne.
Naomba vituo vyote vya afya waiguzi wawe wanapimwa afya zako kila baada ya miezi mitatu, watakaogundulika wameathirika ukimwi wawe wanafukuzwa kazi.