The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,459
- 17,268
kuna msemo kuwa muda ni mwalimu mkuu. Kila jambo wewe lipe muda ukweli utajulikana tu.
Makandokando ya chanzo za covid yaanza kujitokeza. Mkurugenzi wa Kampuni ya Pfizer akihojiwa na kamati ya Umoja wa Ulaya amekiri kua wao kama Pfizer hawakua na ushahidi wowote wa kisayansi kuthibitisha kama chanjo yao inazuia maambukizi ya Covid, wao waliamua kwenda na "beat" ama hali ilivyokua inaruhusu.
Lakini pia mkuu anakiri kua hawakua na ushahidi wa kutosha wa kisayansi kujua madhara ya matumizi ya chanjo ya covid kwa watu.
Hebu msikilize hapa wewe mwenyewe.
Kwa hili Magufuli alitaka kutusaidia kwa bahati mbaya hii haikupendwa na "establishment" na matokeo yake kila mtu anayajua.
Makandokando ya chanzo za covid yaanza kujitokeza. Mkurugenzi wa Kampuni ya Pfizer akihojiwa na kamati ya Umoja wa Ulaya amekiri kua wao kama Pfizer hawakua na ushahidi wowote wa kisayansi kuthibitisha kama chanjo yao inazuia maambukizi ya Covid, wao waliamua kwenda na "beat" ama hali ilivyokua inaruhusu.
Lakini pia mkuu anakiri kua hawakua na ushahidi wa kutosha wa kisayansi kujua madhara ya matumizi ya chanjo ya covid kwa watu.
Hebu msikilize hapa wewe mwenyewe.
Kwa hili Magufuli alitaka kutusaidia kwa bahati mbaya hii haikupendwa na "establishment" na matokeo yake kila mtu anayajua.