#COVID19 Mkurugenzi wa Kampuni ya Pfizer akiri kuwa waliamua kuuza chanjo bila kuwa na ushahidi kama inazuia maambukizi ya Covid-19

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,459
17,268
kuna msemo kuwa muda ni mwalimu mkuu. Kila jambo wewe lipe muda ukweli utajulikana tu.

Makandokando ya chanzo za covid yaanza kujitokeza. Mkurugenzi wa Kampuni ya Pfizer akihojiwa na kamati ya Umoja wa Ulaya amekiri kua wao kama Pfizer hawakua na ushahidi wowote wa kisayansi kuthibitisha kama chanjo yao inazuia maambukizi ya Covid, wao waliamua kwenda na "beat" ama hali ilivyokua inaruhusu.

Lakini pia mkuu anakiri kua hawakua na ushahidi wa kutosha wa kisayansi kujua madhara ya matumizi ya chanjo ya covid kwa watu.

Hebu msikilize hapa wewe mwenyewe.



Kwa hili Magufuli alitaka kutusaidia kwa bahati mbaya hii haikupendwa na "establishment" na matokeo yake kila mtu anayajua.
 
Screenshot_20221009-060152.png
 
Jpm alikuwa ndiye raisi Basi tu acha aliyeiumba dunia anajua mwenyewe. Binafsi sikubaliani na artificial shit. Yaani dawa ya kuswakia huwa natumia garlic Mana haindani kabisa na bacteria mpaka virus.
Cheki wakati wa korona tuliambiwa tule Nini ili kupandisha body pH Mana Kuna pH ambayo Ni intolerable to bacteria and virus.
Tunapata magonjwa kwa sababu pH ya body iko below 7.36 Basi. Mana tunakula wali mahindi nyama maziwa mno hivi vinashusha pH na kuwa too much acidic.

Dr Sebi anadai unapokula protein na wanga yaani unazalisha asidi ambayo sio ya dunia hii.

Mungu alipokataa tusile nyama sema wanadamu wakamlazimisha yeye ndiye Engineer wa bodies zetu anajua how He created them. Mana Engineer anatoa angalizo uzito wa daraja kuhimili,uzito wa gari kuhimili pia, yaani kila kitu kina taratibu zake how to handle it.

Sasa binadamu akapewa hekalu akapewa rules how to handle it Ila Sasa binadamu anataka awe free like a molecules a move randomly and haphazardly.


Akaambiwa kula ichi na hicho usile Ila Sasa akalazimisha akasoma akagundua vingi akamuona aliyemtengeneza Ni mjinga Kama hazimo.


Akadai bana kikuingiacho mtu sio nasjisi Bali kimtukacho kinamtetea awe free like a molecules Mana hakina anayependa Sheria za kubanwa banwa na kufuata ratiba.
Hata kazini unawahi ili tu upate your living Ila Kama una namna huwezi pelekeshwa na ndio Mana kwa kulitambua Ilo waajiri wengi hawapendi ujiongeze mana utiifu utapungua Mana Tayari utakuwa na mabwana wawili ivyo upendo utagawanyika hata nguvu na hili mswahili alilionya kuwa mshika mbili.



Yaani binadamu tunajimaliza wenyewe. Samahani mie huwa naipenda afya yangu kabla ya kula kitu najiuliza hichi naongeza Nini mwilini ama najaza tu tumbo ili nishibe so Niko makini mno na afya yangu tokea mdogo Niko in love.


Kwako najua Ni mzigo so take or fanya kilicho easy or automatic kwako.
Mfano najua unamfahamu ratiba zote za mechi mie hata Sina habari nazo na unajua udaku wwote hapa bongo mie mengine sijui Ila mpira sipo kabisa Ila umbeya ukija nausoma Ila siutafuti


Kila mtu Ana maisha yake.


Yaani tukiweza kula vyakula kiusahihi na kucheki pH level nadhani magonjwa hatutagua.


Sasa Ni Nani akuhubirie mjinga ili wajanja wasipige pesa kutumia uvivu na ujinga wa binadamu.

Kwanza wa kulipia tangazo Ni Nani katika media Mana sekunde moja Bei yake kwa tv.



Wazungu na wao Ni wachawi Kama weusi mbona wametengeneza tatizo wamepiga hela wako kimya na Kuna watu walitajirika mno yaani mno.
Cheki mafuta ghafi pipa lilishuka mpaka below zero yaani ukiyachukua mafuta unapewa na hela. Wakati uktakn and Russia war imepamba Moto mafuta yalifika 130$+ per barrel waza wanaume walipigaje hela sie huku tunalia njaa na madarasa hayatoshi Mara ambulance haina wese jichanganye Mara defender jaza mafuta tukamkamate mtuhumiwa wako.


So hii waafrika wanaroga mtu baadaye Kuna mganga wa kienyeji anakutibu wanapiga hela. Huku tunaroga kiafrika Ila wazungu wao ndio Kama ivyo wameleta mbu na virus wote wapige hela yaani long term target sie ngoja tukomae na koneksheni ya maza j na ifm student or wa cbe niwashushie.
 
kuna msemo kuwa muda ni mwalimu mkuu. Kila jambo wewe lipe muda ukweli utajulikana tu.

Makandokando ya chanzo za covid yaanza kujitokeza. Mkurugenzi wa Kampuni ya Pfizer akihojiwa na kamati ya Umoja wa Ulaya amekiri kua wao kama Pfizer hawakua na ushahidi wowote wa kisayansi kuthibitisha kama chanjo yao inazuia maambukizi ya Covid, wao waliamua kwenda na "beat" ama hali ilivyokua inaruhusu.

Lakini pia mkuu anakiri kua hawakua na ushahidi wa kutosha wa kisayansi kujua madhara ya matumizi ya chanjo ya covid kwa watu.

Hebu msikilize hapa wewe mwenyewe.



Kwa hili Magufuli alitaka kutusaidia kwa bahati mbaya hii haikupendwa na "establishment" na matokeo yake kila mtu anayajua.

Swali ni je imesaidia au haijasaidia?
 
Jpm alikuwa ndiye raisi Basi tu acha aliyeiumba dunia anajua mwenyewe. Binafsi sikubaliani na artificial shit. Yaani dawa ya kuswakia huwa natumia garlic Mana haindani kabisa na bacteria mpaka virus.
Cheki wakati wa korona tuliambiwa tule Nini ili kupandisha body pH Mana Kuna pH ambayo Ni intolerable to bacteria and virus.
Tunapata magonjwa kwa sababu pH ya body iko below 7.36 Basi. Mana tunakula wali mahindi nyama maziwa mno hivi vinashusha pH na kuwa too much acidic.

Dr Sebi anadai unapokula protein na wanga yaani unazalisha asidi ambayo sio ya dunia hii.

Mungu alipokataa tusile nyama sema wanadamu wakamlazimisha yeye ndiye Engineer wa bodies zetu anajua how He created them. Mana Engineer anatoa angalizo uzito wa daraja kuhimili,uzito wa gari kuhimili pia, yaani kila kitu kina taratibu zake how to handle it.

Sasa binadamu akapewa hekalu akapewa rules how to handle it Ila Sasa binadamu anataka awe free like a molecules a move randomly and haphazardly.


Akaambiwa kula ichi na hicho usile Ila Sasa akalazimisha akasoma akagundua vingi akamuona aliyemtengeneza Ni mjinga Kama hazimo.


Akadai bana kikuingiacho mtu sio nasjisi Bali kimtukacho kinamtetea awe free like a molecules Mana hakina anayependa Sheria za kubanwa banwa na kufuata ratiba.
Hata kazini unawahi ili tu upate your living Ila Kama una namna huwezi pelekeshwa na ndio Mana kwa kulitambua Ilo waajiri wengi hawapendi ujiongeze mana utiifu utapungua Mana Tayari utakuwa na mabwana wawili ivyo upendo utagawanyika hata nguvu na hili mswahili alilionya kuwa mshika mbili.



Yaani binadamu tunajimaliza wenyewe. Samahani mie huwa naipenda afya yangu kabla ya kula kitu najiuliza hichi naongeza Nini mwilini ama najaza tu tumbo ili nishibe so Niko makini mno na afya yangu tokea mdogo Niko in love.


Kwako najua Ni mzigo so take or fanya kilicho easy or automatic kwako.
Mfano najua unamfahamu ratiba zote za mechi mie hata Sina habari nazo na unajua udaku wwote hapa bongo mie mengine sijui Ila mpira sipo kabisa Ila umbeya ukija nausoma Ila siutafuti


Kila mtu Ana maisha yake.


Yaani tukiweza kula vyakula kiusahihi na kucheki pH level nadhani magonjwa hatutagua.


Sasa Ni Nani akuhubirie mjinga ili wajanja wasipige pesa kutumia uvivu na ujinga wa binadamu.

Kwanza wa kulipia tangazo Ni Nani katika media Mana sekunde moja Bei yake kwa tv.



Wazungu na wao Ni wachawi Kama weusi mbona wametengeneza tatizo wamepiga hela wako kimya na Kuna watu walitajirika mno yaani mno.
Cheki mafuta ghafi pipa lilishuka mpaka below zero yaani ukiyachukua mafuta unapewa na hela. Wakati uktakn and Russia war imepamba Moto mafuta yalifika 130$+ per barrel waza wanaume walipigaje hela sie huku tunalia njaa na madarasa hayatoshi Mara ambulance haina wese jichanganye Mara defender jaza mafuta tukamkamate mtuhumiwa wako.


So hii waafrika wanaroga mtu baadaye Kuna mganga wa kienyeji anakutibu wanapiga hela. Huku tunaroga kiafrika Ila wazungu wao ndio Kama ivyo wameleta mbu na virus wote wapige hela yaani long term target sie ngoja tukomae na koneksheni ya maza j na ifm student or wa cbe niwashushie.
Nimekusoma
 
Nilikuwa nashangaa sana kuona kijana mwenye umri chini 40 na hana hata safar za nje anaenda kuchanja hayo machajo

Unajua asilimia kubwa ya watumishi wa afya tanzania hawakuchanja.
 
kuna msemo kuwa muda ni mwalimu mkuu. Kila jambo wewe lipe muda ukweli utajulikana tu.

Makandokando ya chanzo za covid yaanza kujitokeza. Mkurugenzi wa Kampuni ya Pfizer akihojiwa na kamati ya Umoja wa Ulaya amekiri kua wao kama Pfizer hawakua na ushahidi wowote wa kisayansi kuthibitisha kama chanjo yao inazuia maambukizi ya Covid, wao waliamua kwenda na "beat" ama hali ilivyokua inaruhusu.

Lakini pia mkuu anakiri kua hawakua na ushahidi wa kutosha wa kisayansi kujua madhara ya matumizi ya chanjo ya covid kwa watu.

Hebu msikilize hapa wewe mwenyewe.



Kwa hili Magufuli alitaka kutusaidia kwa bahati mbaya hii haikupendwa na "establishment" na matokeo yake kila mtu anayajua.
Hii habari aisome Mh Rais Samia na kundi lake. JPM aliioma hili lakini tukamubeza na kumtukana
 
Yule bibi ushungi yeye aliwalazimisha watanzanua wabugie mitakataka ya chanjo ambayo haijathibitishwa.Ndiyo maana watu wenye ugonjwa wa akili wameongezeka sana awamu hii sababu ya chanjo hizi
 
Vaccination against Corona virus is The biggest lie ever told in the history of modern medicine.
 
Safe and effective
Safe and effective
Safe and effective
kuna msemo kuwa muda ni mwalimu mkuu. Kila jambo wewe lipe muda ukweli utajulikana tu.

Makandokando ya chanzo za covid yaanza kujitokeza. Mkurugenzi wa Kampuni ya Pfizer akihojiwa na kamati ya Umoja wa Ulaya amekiri kua wao kama Pfizer hawakua na ushahidi wowote wa kisayansi kuthibitisha kama chanjo yao inazuia maambukizi ya Covid, wao waliamua kwenda na "beat" ama hali ilivyokua inaruhusu.

Lakini pia mkuu anakiri kua hawakua na ushahidi wa kutosha wa kisayansi kujua madhara ya matumizi ya chanjo ya covid kwa watu.

Hebu msikilize hapa wewe mwenyewe.



Kwa hili Magufuli alitaka kutusaidia kwa bahati mbaya hii haikupendwa na "establishment" na matokeo yake kila mtu anayajua.
Ulikuwa wimbo pendwa walipokuwa wanazipromo chanjo zao
 
Back
Top Bottom