Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,183
- 10,913
Wababe walioitesa dunia wanazidi kuporomoka mmoja baada ya mwengine.Miongoni mwao ni taifa la Uiengereza ambalo kwa ujanja mkubwa katika karne iliyopita walitawala nchi nyingi zaidi duniani.
Ukweli huo umekuja baada ya Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo,Grant Shapps kushindwa kupata fungu la nyongeza kwa ajili ya bajeti ya wizara yake.
Baada ya kikwazo hicho cha fedha ndipo naibu kamanda mkuu wa majeshi,Sir Rob Magowan akasema mbele ya bunge kuwa kwa hali ilivyo basi nchi yake haina uwezo wa kupigana na Urusi kwa kurushiana marisasi mfululuzo hata kwa miezi miwili.
Sir Magowan akamalizia kwa kusema kwa sasa hawana silaha za kutosha kwenye hazina zao. Akawauliza wabunge kwani si kweli? ........that’s true, isn’t it?”
Ukweli huo umekuja baada ya Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo,Grant Shapps kushindwa kupata fungu la nyongeza kwa ajili ya bajeti ya wizara yake.
Baada ya kikwazo hicho cha fedha ndipo naibu kamanda mkuu wa majeshi,Sir Rob Magowan akasema mbele ya bunge kuwa kwa hali ilivyo basi nchi yake haina uwezo wa kupigana na Urusi kwa kurushiana marisasi mfululuzo hata kwa miezi miwili.
Sir Magowan akamalizia kwa kusema kwa sasa hawana silaha za kutosha kwenye hazina zao. Akawauliza wabunge kwani si kweli? ........that’s true, isn’t it?”