Uingereza haikumtendea haki Rais Kikwete

Uingereza haikumtendea haki Rais Kikwete

Status
Not open for further replies.
Unaona Picha Chini? nilikuambia hiyo ni Protocol kupokewa AIRPORT
PICHA chini yuko na David Cameroon

d3.jpg

Tunawezaje kupata uhakika kuwa picha hiyo ni ya safari ya sasa? Please help hapa tupate hakika maana boss wetu anapenda sana kwenda majuu kutafuta wawekezaji na picha zinapigwa all the time...
 
Rais wetu mpendwa, Mkuu wa nchi, Amiri Jeshi, Mwenyekiti wa Chama tawala!!!!!!!!!!!!!??????????????
Sijafurahia kabisa the way walivyom-treat rais wetu.
Amekwenda kuitembelea Uingereza, alitakiwa alakiwe na Mwenyeji wake Waziri Mkuu au Malkia! Lakini cha ajabu Rais wetu mpendwa alikwenda kulakiwa/kupokewa na naibu waziri wa maendeleo wa kimataifa! ??????????????
Not fair at all!
Unajua kama wamemchoka rais wetu wasema tu kuliko kumtendea wasivyopenda na wao kutendewa!

uingereza5.jpg

Naibu waziri wa mambo ya kimataifa wa uingereza Stephen O'brien akiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Amiri Jeshi Mkuu, ndg Jakaya Kikwete.


Huyu amepitwa na Wakati.
 
Mungi Hii siyo official visit! ni lazima ujue kutofautisha. Hajaalikwa na Prime minister bali na shirika kwenye mkutano!

Kwa maana hyo hata state haijui kama kiongozi wa nchi fulani kaingia? Protokali ikoje Mkuu?
 
Last edited by a moderator:
Mimi binafsi namshangaa sana raisi wetu,anapataje ujasiri wa kwenda kwenda nje kwa hawa watu,ambao ni watu wa kudadisi sana jinsi utendaji wako ulivyo kabla hawajawa karibu na wewe, labda hayo mafuta na madini,ila zaidi ya hapo...wanakudharau tu,wanamuheshimu mtu anatenda hasa yule anayeonyesha utashi zaidi yao,mfano Mandela..angalia mandela alivyowaonyesha kwamba yeye anaakili zaidi kwa kuleta ukombozi, halafu kukaa pembeni,humsikii akitafuta kuonekana au sijui kuzunguka kutafuta misaada..
 
Waziri wa Afya anatosha kabisa kuhudhuria mkutano wa Uzazi wa mpango, ona sasa.
 
Mbona huulizi kwa nini Malkia huyohuyo wa Unigereza hahudhurii vikao vya United Nations na badala yake British Prime Minister ndiye anahudhuria.

Kwa nini hujiulizi David Cameron wa UK na Angela Merkel wa Germany wanakaa meza moja na Barack Obama wa USA wanapokutana pale kwenye G8 summit wakati wote wawili ni mawaziri mkuu tu na mwenzao Obama ni Mkuu wa nchi.

Soma tofauti kati ya Head of State na Head Of Govermnent ndipo utapanuka uelewa na ukishaelewa nenda kaisifie Jamii Forum kwamba imekupa uelewa huo maana kuna midubwana ubongo wao umejaa mawazo kwamba JF ni kisima cha porojo.

Mkuu unathibitisha kuwa JK hadhi yake ni naibu waziri... hahahah nacheka mie. Anajitakia wamemchoka amezidi kujipeleka, safari ijayo apokewe na Wayne Rooney
 
Alikwenda huko kwa ziara ya kiserikali, alitakiwa akutane na Waziri Mkuu; angekuwa kwenye state visit, basi angekutana na malkia ingawa mara nyingi kwetu kama members wa commonwealth, malkia anaweza kuwakilishwa na waziri mkuu tu.

Kikwete hakutendewa haki; nadhani keshadharauliwa, na hiyo ina maana kuwa ni nchi yetu ndiyo imedharauliwa.
 
Who cares?? Yeye mradi kaongea na mzungu basi kwake inatosha sana kupiga naye picha na kumuagiza Salva aitume nyumbani.
 
Rais wetu mpendwa, Mkuu wa nchi, Amiri Jeshi, Mwenyekiti wa Chama tawala!!!!!!!!!!!!!??????????????
Sijafurahia kabisa the way walivyom-treat rais wetu.
Amekwenda kuitembelea Uingereza, alitakiwa alakiwe na Mwenyeji wake Waziri Mkuu au Malkia! Lakini cha ajabu Rais wetu mpendwa alikwenda kulakiwa/kupokewa na naibu waziri wa maendeleo wa kimataifa! ??????????????
Not fair at all!
Unajua kama wamemchoka rais wetu wasema tu kuliko kumtendea wasivyopenda na wao kutendewa!

uingereza5.jpg

Naibu waziri wa mambo ya kimataifa wa uingereza Stephen O'brien akiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Amiri Jeshi Mkuu, ndg Jakaya Kikwete.
Alistahili hayo mapokezi kwani yeye alienda km mwakilishi wa waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia na watoto au waziri wa afya
 
Tunawezaje kupata uhakika kuwa picha hiyo ni ya safari ya sasa? Please help hapa tupate hakika maana boss wetu anapenda sana kwenda majuu kutafuta wawekezaji na picha zinapigwa all the time...

Yeah, Tazama Kagame, Museveni na Janet Museveni wote walialikwa; acha kuwa na kichwa cha hatari... hapo

watanzania hatutaendelea kabisaaa.
 
Rais wetu mpendwa, Mkuu wa nchi, Amiri Jeshi, Mwenyekiti wa Chama tawala!!!!!!!!!!!!!??????????????
Sijafurahia kabisa the way walivyom-treat rais wetu.
Amekwenda kuitembelea Uingereza, alitakiwa alakiwe na Mwenyeji wake Waziri Mkuu au Malkia! Lakini cha ajabu Rais wetu mpendwa alikwenda kulakiwa/kupokewa na naibu waziri wa maendeleo wa kimataifa! ??????????????
Not fair at all!
Unajua kama wamemchoka rais wetu wasema tu kuliko kumtendea wasivyopenda na wao kutendewa!

uingereza5.jpg

Naibu waziri wa mambo ya kimataifa wa uingereza Stephen O'brien akiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Amiri Jeshi Mkuu, ndg Jakaya Kikwete.
Tafakari yakuwa wamemchoka na tabia yake ya ombaomba bila kufanya majukumu ya kusimamia rasilimali nyingi tuliyonayo hata kuliko UK. Pia wenzake wana mengi ya kufanya kuliko kuzurura kwake kusiko na maana.
 
Tunawezaje kupata uhakika kuwa picha hiyo ni ya safari ya sasa? Please help hapa tupate hakika maana boss wetu anapenda sana kwenda majuu kutafuta wawekezaji na picha zinapigwa all the time...

Hapo labda kaomba wapige picha ya pamoja. Inasikitisha sana kuona Mkuu wetu anavyoidhalilisha nchi tajiri kama Tanzania.
Wazungu wamemchoka but he don't care, hata akipokelewa na housemaid kwake poa tu!
d3.jpg
 
still anahitaji kuheshimiwa kwani ni bado rais wetu hata kama hapendwi ila muda ndo utasema kwani 2015 sio mbali yapaswa tumuombe mungu ili atufikishe kwenye uchaguzi mkuu salama kuliko kubwabwaja pasipo na misingi maalum....ni hayo tu
 
Wenzetu ni wako makini sana katika kuzingatia taratibu na kanuni walizojiwekea; fuatilia ni viongozi wangapi na wenye hadhi ipi (uwezo na viwango vya taifa lao) ambao wamelakiwa na rais au Malkia wanapotembelea nchi hizi UK, USA na Canada na Ufaransa.
Aidha kama ni suala la kupokelewa hivi wakuu wa nchi hizi wataacha shughuli zao mara ngapi kumpokea JK? Jiulize kwa mwaka JK huenda mara ngapi ktk nchi hizi.
Hawajamdharau ila wanazo ratiba zao ambazo ni muhimu kuliko ziara za huyu ambaye hata yeye alishasema zina lengo moja tu "kutembeza bakuli kuwaombea waTz chakula".

EJL
 
nikupateje wewe kilaza kweli?? malkia wa uingereza is a ceremonial queen hana political power??? nafasi ya angela merkel,david cameron, manmohan sing ,recep tayip erdogan, benjamini netanyahu,mariano rajoy,francois holande ,hu jintao,barack obama etc zote zinafanana viongozi wa serikali kama kikwete2 malkia hana ukuu wowote wa nchi zaidi ya heshima kama rais wa ujerumani,israel,india,italia au uturuki ni aibu jk kupokewa na waziri au naibu waziri in shor subir aje cameron kama atapokewa na mahadhi au membe ndo utajua
 
kiongozi gani wa nchi kaja tz jk hakumpokea? kwani jk hana ratiba za kazi nyingine? we umeona kiongozi yupi wa nchi kaenda uingereza kapokewa na naibu waziri zaidi ya jk?
 
Ukionekana sana sehemu huwa inafikia wakati hata kama upo unakuwa kama haupo vile. Kwa hili mimi limenikera kwani waziri wa afya anafanya kazi gani mpaka rais ahudhurie semina ya uzazi wa mpango???
 
Huyu babuu JK anaelewa hilo basi??!! mwezi ujao anaweza piga trip nyingine UK. job true true!!!
 
Ata uyö naibu hakustaili kumpokea,,mwenyekiti wa mtaa angetosha!! Mgeni gani kila wiki anajileta leta tu??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom