Rais wetu mpendwa, Mkuu wa nchi, Amiri Jeshi, Mwenyekiti wa Chama tawala!!!!!!!!!!!!!??????????????
Sijafurahia kabisa the way walivyom-treat rais wetu.
Amekwenda kuitembelea Uingereza, alitakiwa alakiwe na Mwenyeji wake Waziri Mkuu au Malkia! Lakini cha ajabu Rais wetu mpendwa alikwenda kulakiwa/kupokewa na naibu waziri wa maendeleo wa kimataifa! ??????????????
Not fair at all!
Unajua kama wamemchoka rais wetu wasema tu kuliko kumtendea wasivyopenda na wao kutendewa!
![]()
Naibu waziri wa mambo ya kimataifa wa uingereza Stephen O'brien akiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Amiri Jeshi Mkuu, ndg Jakaya Kikwete.
Wewe Mungi kama hujui diplomasia sema usomeshwe shule.........Kwani JK akienda USA huwa anapokelewa na Obama? Au uliwahi kuona wapi rais wako alipofanyiwa wema kuzidi UK? Hebu iangalie vizuri picha uliyotuwekea huoni kawekewa pipi? Wapi aliwahi kupewa pipi?Rais wetu mpendwa, Mkuu wa nchi, Amiri Jeshi, Mwenyekiti wa Chama tawala!!!!!!!!!!!!!??????????????
Sijafurahia kabisa the way walivyom-treat rais wetu.
Amekwenda kuitembelea Uingereza, alitakiwa alakiwe na Mwenyeji wake Waziri Mkuu au Malkia! Lakini cha ajabu Rais wetu mpendwa alikwenda kulakiwa/kupokewa na naibu waziri wa maendeleo wa kimataifa! ??????????????
Not fair at all!
Unajua kama wamemchoka rais wetu wasema tu kuliko kumtendea wasivyopenda na wao kutendewa!
![]()
Naibu waziri wa mambo ya kimataifa wa uingereza Stephen O'brien akiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Amiri Jeshi Mkuu, ndg Jakaya Kikwete.
Domhome hebu ianike hiyo barua kutoka kwa huyo mdhungu wa USA basi.......tuone hilo karipioMkuu,
JK hathaminiwi tena na ninashaka na uwezo wake wa kufikiri kwanini anashindwa kutambua Dharau afanyiwazo?
Hebu angalia jinsi alivyolimwa barua kali na Mbunge toka USA, hivi hii inaingia akilini kweli kwa Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu wa JMT kuandikiwa barua kali ya Karipio na Mbunge?
Ama kweli ukistaajabu ya Liwalo na Liwe utayaona ya Dhaifu. Hadhi ya Tanzania na hasa Ikulu imeshushwa na Awamu hii ya 4.
Thubutu yake hajipendi? anavyopenda kupigiwa mizinga 21 na kupata vijimsaada kutoka kwa mama.......atajipeleka tu ka mbwa kaona chatuAnavopenda mabifu lazima atawalipizia. siku wakija atawatuma Lusinde, nchemba na manyanya airport.
Kila anapoenda Ulaya kazi yake ni kuomba vyandarua halafu anakuja kuwadanganya watz kaenda kutafuta wawekezaji
mkuu hiyo barua iko wapi? na ilikuwa inasemaje?
Waingereza wengi wanamsema hivi
"Tanzanias Jakaya Kikwete, re-elected to a second term last year, will step down in four years. Hobbled with the reputation of a lazy, foreign-trip-loving president who is soft on corruption, Kikwete seems to be busy sprucing his image.
Amidst signs that the long-ruling Chama Cha Mapunduzi is in the midst of a shake-up, Kikwete has been pushing some of the more controversial and scandal-tainted politicians off the cliff, or a few of them have saved themselves the humiliation and jumped
Na wengine wanamsema hivi
Tanzanians are tired of their president. A retarded womanizer, brain dead idiot constantly trotting the world leaving his country in the darkness. His people pray for an African version of Arab spring to topple jokers like him.
Wikileaks revealed how cheap Kikwete is; a whole head of state being bribed 5 suits and $1million.
How low? He is accused of being the master of all corruption. Never home attending even the most mediocre meetings his assistants could attend. They have even named him after the explorer "Vasco Dagama".
Africans will never progress as long as the likes of Kikwete keep on leading Africa''.
Rais wetu mpendwa, Mkuu wa nchi, Amiri Jeshi, Mwenyekiti wa Chama tawala!!!!!!!!!!!!!??????????????
Sijafurahia kabisa the way walivyom-treat rais wetu.
Amekwenda kuitembelea Uingereza, alitakiwa alakiwe na Mwenyeji wake Waziri Mkuu au Malkia! Lakini cha ajabu Rais wetu mpendwa alikwenda kulakiwa/kupokewa na naibu waziri wa maendeleo wa kimataifa! ??????????????
Not fair at all!
Unajua kama wamemchoka rais wetu wasema tu kuliko kumtendea wasivyopenda na wao kutendewa!
![]()
Naibu waziri wa mambo ya kimataifa wa uingereza Stephen O'brien akiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Amiri Jeshi Mkuu, ndg Jakaya Kikwete.
Jamani huyu ni NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO!!! can you imagine!!!! Rais Mkuu wa Nchi na NAIBU WAZIRI...ni sawa na kulinganisha mlima na Kichuguu...kwa nafasi ya vyeo ila sasa kwa hapa ni tofauti...aibu saaanannnn...jamaa akiondoka madarakani nadhani tutakua tumepata somo kwamba sio kila mvaa kanzu ni sheikh..
Mungi Kiprotocal hiii haikuwa ziara rasmi ya serikali..au state visit..,so anaweza kupokewa na yeyote....,na hata kwenye state visit kwa nchi kubwa kama marekani na uingereza ...rais mgeni anapokewa na foreign officials ..na baadaye kufanyiwa official reception Ikulu ya white house au Buckinghum Palace......
Weee fikiri nchi kama Uk au US kwa siku kuna marais wangapi wanaingia na kutoka ......,kama transit au safari zao tu ..kama wote watatakiwa wapate audiance na head of state kama hapa basi ......Queen au Us president watakuwa wanashinda uwanja wa ndege kama Mkuu wa mKoa wa Dar...
Hata House maid anaweza kumpokea mkuu?
Hivi unafikiri waziri mkuu au malkia hawana kazi ya kufanya kila siku ni kumpokea tu
huyu mzururaji?Ujio wa kiongozi kwenye nchi yoyote inatumika pesa kama mafuta ya
magari,security n.k.Sasa wewe kila siku unakwenda huko si lazima watakuchoka?
Kwanza nina uhakika kuna siku atapokelewa na katibu kata!
Waingereza wengi wanamsema hivi
"Tanzanias Jakaya Kikwete, re-elected to a second term last year, will step down in four years. Hobbled with the reputation of a lazy, foreign-trip-loving president who is soft on corruption, Kikwete seems to be busy sprucing his image.
Amidst signs that the long-ruling Chama Cha Mapunduzi is in the midst of a shake-up, Kikwete has been pushing some of the more controversial and scandal-tainted politicians off the cliff, or a few of them have saved themselves the humiliation and jumped
Na wengine wanamsema hivi
Tanzanians are tired of their president. A retarded womanizer, brain dead idiot constantly trotting the world leaving his country in the darkness. His people pray for an African version of Arab spring to topple jokers like him.
Wikileaks revealed how cheap Kikwete is; a whole head of state being bribed 5 suits and $1million.
How low? He is accused of being the master of all corruption. Never home attending even the most mediocre meetings his assistants could attend. They have even named him after the explorer "Vasco Dagama".
Africans will never progress as long as the likes of Kikwete keep on leading Africa''.