kifaulongo
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 1,035
- 459
Hatuwezi kukubari kuongozwa na maccm(zzt)
Naona samsung gallaxy za januar makamba zinafanya kazi kweli kweli + buku saba mnapost miharo tuu humu.CHADEMA = SACCOS
Sasa inakufa kikondoo.
Hu ni mwaka wa she tani, huku Ujangili kule Usomali ...View attachment 123859Hivi tuhuma za Usomali bado zinamuandama?
Nadhani kichwani kwako ndo kutakuwa na mpasuko ndo maana unawaza umamluki mliouzoea huko magambani.wewe hata ukipewa tochi hutaona huo mpasuko kwa sababu unafikiria ki mamluki!!
Jibuni hoja za Mwigamba na amesema hatoki.Naona samsung gallaxy za januar makamba zinafanya kazi kweli kweli + buku saba mnapost miharo tuu humu.
Inashangaza kuona vichwa mbalimbali vya habari vikishabikia sakata la akina Zitto Kabwe kama ndio anguko au mpasuko ndani ya CHADEMA. Binafsi sioni kama kuna mpasuko wala vipande ndani ya CHADEMA ila naona kinazidi kuimarika baada ya kugundua mbinu za usaliti na hujuma ambazo zingefanikiwa zingechangia kukivuruga chama.
Nawashukuru sana.[Mwisho ninapenda kusema kuwa huu ni msimamo wangu na kwamba sipo tayari kuburuzwa wala kuruhusu kuona tunaendelea kuibomoa demokrasia tunayoitangaza kila kukicha.
Nitaendelea kuwa mwanachama mtiifu wa chama changu, na kukishauri namna bora ya kuendeleza demokrasia ndani ya vikao na sita ogopa kueleza maoni yangu kwa Watanzania.
Imetolewa na ;-
Joseph Y. Patrick
Mburula mwingine! Ulikuwa unasubiri sakata la Zito Kabwe ndio uinue pua yako na kulalamika ya kwako? Huoni hiyo ni psychological impotence?
View attachment 123857Tunapiga kazi kweli kweli.......
Kama maccm wanajivyojiona wako sawa wakati mbinu zao za kukivuruga CHADEMA zinashindikana.Hata kichaa anajionaga yuko timamu
Utasubiri sana hiyo ndoto yako haitatimia kamwe.Rest in peace chadema