MTENDAHAKI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,013
- 1,448
chama imara hakiitaji mbereko ya wezi
mm nimetega sikio akitoa tamko tu la kujitoa nachoma kadi ya chadema, nijipe muda wa kutafakari then nita tathmini chama kipya cha kujiunga.
Walianza na cuf kujitoa ukawa ikashndkana wakaja na slaa lissu na mnyika wamejitoa baada ya lowassa kuja cdm lissu akatokea wakadai mnyika na slaa wanaenda act leo mnyika ndan ya kamat kuu ya cdm wamenk na slaa akishatokea nafkr watasema ukawa haitoshiriki uchaguz mkuu maana nec haiwatambui
chadema ni taasisi tena ni strong institution hata angekuwa baba wa taifa nyerere sembuse dr slaa mm nilikuwa mmoja wa wafuasi wake na nitaendelea kumuheshim bt when it comes to movement 4 change sitokubali kuwa mfwasi wa mtu anae ona chama kipo njia panda yeye ata kutoka na kukanusha kashindwa je ingekuwa wanamsema vibaya mkewe au watoto wake angekaa kimya inatakiwa afahamu ya kwamba watanzania wamemjua kupitia siasa na uwezi kufanya siasa bila ya chama kukudhamini
Cdm c imara kama unavyodhani, kwanza kwa kuungana na vyama vingine tuu hiyo ni sababu kuwa haina nguvu , kama haitoshi kumtegemea kada wa ccm kuwa ndio mgombea ngazi ya urais hiyo ni sababu ingine tena kudhihirisha udhaifu , sababu ya tatu ni kitendo cha kuweka sharti la kupokea kiasi cha fedha ili kuachia nafasi ya mgombea wa urais huo ni udhaifu mkubwa zaidi, kwa ujumla cdm na upinzani bado ni wachanga sana,. Na udhaifu wa kuamini kuwa wingi wa washabiki cyo ukubwa wa chama kwani kwa siasa watu hao leo wanaweza kukuunga ww na kesho wakamuunga mwingine.
Dharau kila kukicha dhidi ya Dr Slaa..!!
Kuna watu wako pembeni wanasoma michango yenu tu humu ndani, Kuna watu wanasubiri kwa hamu lolote litakalofanywa au kusemwa na Dr Slaa. Kama Dr Akiamua kuondoka Cdm na kistaafu siasa, wapo wengi sana, wengi mno watakaokuwa nyuma yake. Kama unapima upepo kwa kuangalia watu wanavyomtukana na kumsimanga Dr humu ndani, then unajidanganyana sana. Wapo watu wengi tu hawajui Jf ni mdudu gani..!!! Hapa tulipo leo Wanachama wa Jf ni takribani laki sita tu out of Watanzania milioni 45..!!
Kataa au kubali Dr Slaa hawezi kuitumia Jf kupima upepo, tena sidhani kwamba mtu mwenye maamuzi yake anahitaji kupima upepo ili kufanya maamuzi hayo.. Watu wa namna hiyo si wenye kariba ya Dr Slaa. Sisi tunajiamisha humu ndani kwamba Cdm Mpaka kufikia hapa ni Taasisi Imara..., lakini tunasahau kwamba Taasisi hii tunayojivunia hii leo imejengwa chini ya Dr Slaa kama mtendaji kwa karibu zaidi ya miaka kumi. Mtu huyuhuyu tunayemdharau humu ndani ndiye aliyesimama Kidete mpaka Cdm kufikia hadhi hii iliyonayo ambayo sisi hii leo kwa ujivuni tunadharau..!!
Ila Mungu ni mwema, Dr Slaa kwa umri wake akiamua kustaafu siasa hakuna litakaloharibika kwake, Atabaki na heshima yake. Kamwe Dr haitaji siasa ili aendelee kujijenga au kujinufaisha. Zaidi sana ni Siasa, hasa ya hapa nyumbani ndiyo inayomuhitaji Dr ili iendelee kuwa Imara.
Wekeni Akiba ya Maneno..!!
BACK TANGANYIKA
Dr slaa aheshimiwe. Acheni kuanzisha thread za kijinga kwa jina lake.
Sina cha kukulipa mkuu ila namuomba Mungu akutendee kama utakavyotaka .Dharau kila kukicha dhidi ya Dr Slaa..!!
Kuna watu wako pembeni wanasoma michango yenu tu humu ndani, Kuna watu wanasubiri kwa hamu lolote litakalofanywa au kusemwa na Dr Slaa. Kama Dr Akiamua kuondoka Cdm na kistaafu siasa, wapo wengi sana, wengi mno watakaokuwa nyuma yake. Kama unapima upepo kwa kuangalia watu wanavyomtukana na kumsimanga Dr humu ndani, then unajidanganyana sana. Wapo watu wengi tu hawajui Jf ni mdudu gani..!!! Hapa tulipo leo Wanachama wa Jf ni takribani laki sita tu out of Watanzania milioni 45..!!
Kataa au kubali Dr Slaa hawezi kuitumia Jf kupima upepo, tena sidhani kwamba mtu mwenye maamuzi yake anahitaji kupima upepo ili kufanya maamuzi hayo.. Watu wa namna hiyo si wenye kariba ya Dr Slaa. Sisi tunajiamisha humu ndani kwamba Cdm Mpaka kufikia hapa ni Taasisi Imara..., lakini tunasahau kwamba Taasisi hii tunayojivunia hii leo imejengwa chini ya Dr Slaa kama mtendaji kwa karibu zaidi ya miaka kumi. Mtu huyuhuyu tunayemdharau humu ndani ndiye aliyesimama Kidete mpaka Cdm kufikia hadhi hii iliyonayo ambayo sisi hii leo kwa ujivuni tunadharau..!!
Ila Mungu ni mwema, Dr Slaa kwa umri wake akiamua kustaafu siasa hakuna litakaloharibika kwake, Atabaki na heshima yake. Kamwe Dr haitaji siasa ili aendelee kujijenga au kujinufaisha. Zaidi sana ni Siasa, hasa ya hapa nyumbani ndiyo inayomuhitaji Dr ili iendelee kuwa Imara.
Wekeni Akiba ya Maneno..!!
BACK TANGANYIKA
Cdm c imara kama unavyodhani, kwanza kwa kuungana na vyama vingine tuu hiyo ni sababu kuwa haina nguvu , kama haitoshi kumtegemea kada wa ccm kuwa ndio mgombea ngazi ya urais hiyo ni sababu ingine tena kudhihirisha udhaifu , sababu ya tatu ni kitendo cha kuweka sharti la kupokea kiasi cha fedha ili kuachia nafasi ya mgombea wa urais huo ni udhaifu mkubwa zaidi, kwa ujumla cdm na upinzani bado ni wachanga sana,. Na udhaifu wa kuamini kuwa wingi wa washabiki cyo ukubwa wa chama kwani kwa siasa watu hao leo wanaweza kukuunga ww na kesho wakamuunga mwingine.
Cdm c imara kama unavyodhani, kwanza kwa kuungana na vyama vingine tuu hiyo ni sababu kuwa haina nguvu , kama haitoshi kumtegemea kada wa ccm kuwa ndio mgombea ngazi ya urais hiyo ni sababu ingine tena kudhihirisha udhaifu , sababu ya tatu ni kitendo cha kuweka sharti la kupokea kiasi cha fedha ili kuachia nafasi ya mgombea wa urais huo ni udhaifu mkubwa zaidi, kwa ujumla cdm na upinzani bado ni wachanga sana,. Na udhaifu wa kuamini kuwa wingi wa washabiki cyo ukubwa wa chama kwani kwa siasa watu hao leo wanaweza kukuunga ww na kesho wakamuunga mwingine.
Dr. Slaa akiondoka CHADEMA Lowassa ATALOWANA NA CHADEMA ITA​LOWA!