lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,805
- 4,374
Baada ya Uvumi kuwa Dr Slaa kaihama Chadema.Kuna vitu nimejifunza na kujiridhisha kuwa CHADEMA kwa sasa ni taasisi kubwa ambayo hamna aliye juu yake.
Baada ya uvumi ule nilitarajia kuona watu wengi wakiungana na Dr slaa kimtazamo ili angalau walioanzisha na waliotengeneza uzishi huo wapate faraja.
Lakini cha kushangaza Dr aligeuka aduii namba moja wa wanaCDM na wapenda mabadiliko wote
Ishara iliyojionyesha wazi,Kama kweli ikatokea Dr kutokukubaliana na wenzake anaisha kisiasa kabisa.
Kifupi yaliyotokea juu ya Dr na Chadema yamekuwa msaada na kipimo tosha kwa CDM juu ya uimara na uthabiti wa taasisi hiyo kwa sasa.
Chadema imedhiirisha ni chama cha upinzani imara Africa.Na mfano wa kuigwa east Africa.
Namuheshimu sana dr slaa,na nitaendelea kumhehimu mpaka kufa kwangu lkn kama ni kweli ataondoka chadema na kujiunga na act nitamjeka kama vile sijawahi kumuunga mkono maisha yangu yote