hapana wengi wapo kimya bcs hawana taarifa za uhakika .subiri Dr ajitokeze hadharan utaona mgawanyiko
Kaka hata mie naona ivo ulivosema ni sahihi
hapana wengi wapo kimya bcs hawana taarifa za uhakika .subiri Dr ajitokeze hadharan utaona mgawanyiko
.Baada ya Uvumi kuwa Dr Slaa kaihama CHADEMA. Kuna vitu nimejifunza na kujiridhisha kuwa CHADEMA kwa sasa ni taasisi kubwa ambayo hamna aliye juu yake.
Baada ya uvumi ule nilitarajia kuona watu wengi wakiungana na Dr Slaa kimtazamo ili angalau walioanzisha na waliotengeneza uzishi huo wapate faraja.
Lakini cha kushangaza Dr aligeuka adui namba moja wa wana CHADEMA na wapenda mabadiliko wote
Ishara iliyojionyesha wazi, Kama kweli ikatokea Dr kutokukubaliana na wenzake anaisha kisiasa kabisa.
Kifupi yaliyotokea juu ya Dr na CHADEMA yamekuwa msaada na kipimo tosha kwa CDM juu ya uimara na uthabiti wa taasisi hiyo kwa sasa.
Chadema imedhiirisha ni chama cha upinzani imara Africa. Na mfano wa kuigwa east Africa.
Mwaka huu ni mwaka wa mabadiliko,hatuhitaji ujinga utakaoirudisha CCM madarakani.Hata mimi nilikuwa ninaunga mkono dr aondoke tu.Mabadiliko kwanza masharti baadaye.
Akisusa c tunasonga maana hamna namna
mkuu hujui lolote huku site subiri atangaze ndyo utajua kwnye box la kura kunanini?
Dr Slaa hawezi kuisaidia ccm isianguke wanajichosha tu
Baada ya Uvumi kuwa Dr Slaa kaihama CHADEMA. Kuna vitu nimejifunza na kujiridhisha kuwa CHADEMA kwa sasa ni taasisi kubwa ambayo hamna aliye juu yake.
Baada ya uvumi ule nilitarajia kuona watu wengi wakiungana na Dr Slaa kimtazamo ili angalau walioanzisha na waliotengeneza uzushi huo wapate faraja.
Lakini cha kushangaza Dr aligeuka adui namba moja wa wana CHADEMA na wapenda mabadiliko wote
Ishara zimejionyesha wazi, Kama kweli ikatokea Dr kutokukubaliana na wenzake anaisha kisiasa kabisa.
Kifupi yaliyotokea juu ya Dr na CHADEMA yamekuwa msaada na kipimo tosha kwa CDM juu ya uimara na uthabiti wa taasisi hiyo kwa sasa.
Chadema imedhiirisha ni chama cha upinzani imara Africa. Na mfano wa kuigwa east Africa.
Cdm c imara kama unavyodhani, kwanza kwa kuungana na vyama vingine tuu hiyo ni sababu kuwa haina nguvu , kama haitoshi kumtegemea kada wa ccm kuwa ndio mgombea ngazi ya urais hiyo ni sababu ingine tena kudhihirisha udhaifu , sababu ya tatu ni kitendo cha kuweka sharti la kupokea kiasi cha fedha ili kuachia nafasi ya mgombea wa urais huo ni udhaifu mkubwa zaidi, kwa ujumla cdm na upinzani bado ni wachanga sana,. Na udhaifu wa kuamini kuwa wingi wa washabiki cyo ukubwa wa chama kwani kwa siasa watu hao leo wanaweza kukuunga ww na kesho wakamuunga mwingine.