Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,278
- 8,868
Baada ya Uvumi kuwa Dr Slaa kaihama CHADEMA. Kuna vitu nimejifunza na kujiridhisha kuwa CHADEMA kwa sasa ni taasisi kubwa ambayo hamna aliye juu yake.
Baada ya uvumi ule nilitarajia kuona watu wengi wakiungana na Dr Slaa kimtazamo ili angalau walioanzisha na waliotengeneza uzushi huo wapate faraja.
Lakini cha kushangaza Dr aligeuka adui namba moja wa wana CHADEMA na wapenda mabadiliko wote
Ishara zimejionyesha wazi, Kama kweli ikatokea Dr kutokukubaliana na wenzake anaisha kisiasa kabisa.
Kifupi yaliyotokea juu ya Dr na CHADEMA yamekuwa msaada na kipimo tosha kwa CDM juu ya uimara na uthabiti wa taasisi hiyo kwa sasa.
Chadema imedhiirisha ni chama cha upinzani imara Africa. Na mfano wa kuigwa east Africa.
Baada ya uvumi ule nilitarajia kuona watu wengi wakiungana na Dr Slaa kimtazamo ili angalau walioanzisha na waliotengeneza uzushi huo wapate faraja.
Lakini cha kushangaza Dr aligeuka adui namba moja wa wana CHADEMA na wapenda mabadiliko wote
Ishara zimejionyesha wazi, Kama kweli ikatokea Dr kutokukubaliana na wenzake anaisha kisiasa kabisa.
Kifupi yaliyotokea juu ya Dr na CHADEMA yamekuwa msaada na kipimo tosha kwa CDM juu ya uimara na uthabiti wa taasisi hiyo kwa sasa.
Chadema imedhiirisha ni chama cha upinzani imara Africa. Na mfano wa kuigwa east Africa.