Hmmm ... mtihani
Mtihani upi naimaomari?its just a matter of wether there is any truth in all this.Maana the source of this piece of info seemed to be so sure nikasema JF lazima kunapatikana majibu hivyo nikaleta hapa ili kupata majibu ya ndio au hapana.
Au ndiyo maana anaitwa FREEMAN = MTU HURU yaani kwa ufafanuzi zaidi ni mtu wa kote kote. Yaani Dar, Butiama au Kilimanjaro???
Mtihani upi naimaomari?its just a matter of wether there is any truth in all this.Maana the source of this piece of info seemed to be so sure nikasema JF lazima kunapatikana majibu hivyo nikaleta hapa ili kupata majibu ya ndio au hapana.
Naona na wewe wazidi kuhoji.
Maswali
1.Ni kweli ni mtoto wa Baba wa Taifa?
2.Ni kweli mzee wake ni Mwana CCM wa zamani?
3.Ni kweli kuhusu hizi safari za Butiama?
Ama mwenye lolote lenye kushahibiana na hili.