Kevo
JF-Expert Member
- Jun 12, 2008
- 1,333
- 52
Naomba nijitokeze kuomba ufafanuzi ama kama kuna ukweli wowote katika hili.Siku za hivi karibuni nikiwa na jamaa yangu mmoja mwenye undugu wa karibu kabisa na familia ya Mangi Mkuu wa Wachaga Marealle alitueleza jambo ambalo kidogo nilitilia shaka ya kwamba Freeman Mbowe ni mtoto wa JK Nyerere.
Alizidi kutueleza ya kwamba Mzee Mbowe kama member wa CCM alikuwa kikazi mikoa ya Kusini na kipindi hicho Nyerere alikuwa Kilimanjaro kikazi hivyo kama rafiki wa karibu wa familia hii alikaa nyumbani kwa Mzee wa Mbowe hivyo uhusiano uliokuwa kati yake na mke wa rafiki yake kupelekea kuzaliwa kwa Freeman na kwamba hata katika mazishi ya Nyerere huyu jamaa alipata nafasi ya pekee kabisa kuweka wreath kwenye kaburi la mzee wake na kwamba ni mara nyingi sana yeye huwa anaenda Butiama.
Na ni kweli kuwa ndio maana CCM mara nyingi hawapendi kum-disturb.
Maswali
1. Ni kweli ni mtoto wa Baba wa Taifa?
2. Ni kweli mzee wake ni Mwana CCM wa zamani?
3. Ni kweli kuhusu hizi safari za Butiama?
Ama mwenye lolote lenye kushabihiana na hili.
Alizidi kutueleza ya kwamba Mzee Mbowe kama member wa CCM alikuwa kikazi mikoa ya Kusini na kipindi hicho Nyerere alikuwa Kilimanjaro kikazi hivyo kama rafiki wa karibu wa familia hii alikaa nyumbani kwa Mzee wa Mbowe hivyo uhusiano uliokuwa kati yake na mke wa rafiki yake kupelekea kuzaliwa kwa Freeman na kwamba hata katika mazishi ya Nyerere huyu jamaa alipata nafasi ya pekee kabisa kuweka wreath kwenye kaburi la mzee wake na kwamba ni mara nyingi sana yeye huwa anaenda Butiama.
Na ni kweli kuwa ndio maana CCM mara nyingi hawapendi kum-disturb.
Maswali
1. Ni kweli ni mtoto wa Baba wa Taifa?
2. Ni kweli mzee wake ni Mwana CCM wa zamani?
3. Ni kweli kuhusu hizi safari za Butiama?
Ama mwenye lolote lenye kushabihiana na hili.