Uhusiano wa binadamu na kupenda viharufu vya mwili

Uhusiano wa binadamu na kupenda viharufu vya mwili

Binti wa zamani

Platinum Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
11,763
Reaction score
27,150
Tafakuri ya jumapili: Kuna mtu humu alisema alifanya ngono na shemeji yake kwa sababu alikua na harufu flani ya jasho la kwapa ikamuamsha hisia za kimapenzi. 



Nimeshasoma nyuzi wa wakaka humu wanasema huwa wanapenda kaharufu ka asili na wengine kauvundo ka papuchi.

Tuambizane:
  1. Je harufu huwa inakuvutia kwa kwa mpenzi au watu wanaokuzunguka? 


  2. Ni harufu gani ya kipekee unaikumbuka au ilikutengenezea matamanio?

  3. Una kisa chochote kinachohusu harufu za mwili? (iwe mbaya au nzuri)


    smelly-odor-black-man-disgusted-600nw-2531765377.webp
 
Bila kukusahau wewe pia
Mimi si wa mambo ya kyagata , ila ni kweli, kuna wanawake wengi humu duniani wanapenda harufu asilia bila kujali wanatoka nchi gani- kwa asilimia nyingi kwa kweli na nimekutana nao wengi.
Nimekutananao wengi wenye kupenda harufu asilia- ngozi yetu, nyeupe, asia, waarabu na kila aina.
Mfano mdogo, wakiwa wajawazito, wengine huwa wana crave harufu ya choo... wengine harufu ya maembe, wengine ubuyu. Wengine wanapenda kupelekewa A to M. siku moja ipo siku watatengezewa perfum ya kunuka mavi na wataipaka tu kama design yao... samahani kama umechefukwa, sio kusudi langu ila hayo ndiyo nimeyaona mpaka sasa katika maisha haya.
 
Mzee mwenzangu, nimekushindwa 😂 😂 😆
Ila harufu ya kwapa ya wakaka, ile jasho linamtoka wakati anaichapa K, kaharufu flani kanasisimua sana 😅.
Acha kabisa mkubwa mwenzangu, binafsi kale kaharufu kawe OG kusiwe na deodorant wala spray yoyote.
 
Kuna wadada wana harufu flan inaleta hamasa. Wengine hata ukim-hug anavyohema tu inaamsha amsha yake
Harufu ya perfume au harufu yake tu mwenyewe.

Iyo ya kuhug, ukumbatiwe halafu mtu akushushie pumzi shingoni, aroooo 🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom