Nyakwec's Bro
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 820
- 174
peleleza hii kwenye mazingira haya wanaume ndiyo huwa wanataka wamuone msichana kwanza kisha amsaminishe akiona halipi anamdanganya na simu anazima lakini wasichana huwa wako willing kuonana bila kujifichaficha.Ninawashikaji zangu wawili wameshafanya hivyo baada ya kukubaliana demu kaja ubungo hapo mshikaji akamdanganya demu ili tu yeye awe wa kwanza kumfahamu baada ya kuona kimeo huyo akazima na simu nduki!....Mbona ikitokea wakaonana na kukuta cvyo kama kila mmoja alivyotarajia hukimbiana